Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Mwanza ni jiji ambalo halina presha kama Dar na Arusha, halafu hatuna mambo mengi sana hivyo tuchukulie tu tulivyo
Atleast mkuu hutak kubisha ukweli ila unashaur ku adapt
 
Zunguka kote ila mambo yote Tanga Bwana kuna miaka flani nilienjoy sana vyakula kila ninachokula naienjoy aisee bei ya kawaida kabisa. Nimetoka zangu bara huko nawachukia dagaa hatari ila Tanga ikanifanya nijue upande wa pili na shilingi walivokuwa watamu kama sio ninaowachukia, nikaondoka na somo moja hakuna chakula kibaya ila mapishi tuu. Tukiacha yote watu wa mikoa tofauti na Pwani mapishi ni mabovu yaani hovyo hovyo, nishawai kwenda Sumbawanga kila mgahawa ninaokula ni hovyo nashindwa kabisa kumaliza chakula
Sasa mwanza jiji kila kitu kizur lakin msos kama wanapikia nguruwe yaan unanunua wal samaki unaishia kumla samak
 
Ukitaka mambo ya burger,juice zilizoenda shule,kuku wa kuoka nenda Salma corne,

ukitaka chips za kiwango cha MacDonald ,kuku wa sampuli ya KFC nenda mgahawa wa Sizzler.

Mambo ya tea,coffee etc nenda SUNCITY hotel.

Mchemsho etc nenda Four ways ,ila hii sidhani kama bado ipo,

ukitaka mambo ya mishakiki ya kukanga,keki za kiwango cha kimataifa nenda Victoria Fast food.

Ukitaka mambo ya Roast kuku,samaki etc nenda Chrimas Tree,Aspen etc

ila biriani,pilao ndo itabidi uende kwa mama lishe
 
Nimetoka nimeishia kula malaya na bia msos amna
Buda ukija mjini tafuta ma alwataan wa mji,,,, unataka chakula kama cha almaida pale lumumba?..kesho mchana nenda mwanza hotel ukifika unga na barabara inayoelekea kwa mataa then ukifika hapo ulizia kwa wapemba wanapopika msosi......
Usiporidhika, niambie nikuelekeze chimbo lingine
 
Heheh Ukiwa kwa watu kubali kuendana na mazingira mkuu, hayo ya wali nazi subiri ukirudi Bandari Salama.
 
wanaume wa dar bana kila siku kutwa kuanzisha nyuzi kuhusu kukikandia mwanza ili mradi tu mpate point ya kuondoa ka unyonge kenu,hivyo vyakula ndo vinavyowapa nguvu wanaume wa mikoani.

Mafuriko yakitokea huwez mkuta mwanaume wa mkoani kabebwa mgongoni,au kaenda kusafishwa miguu baada ya kutembea kwenye tope never.

Sijajuta kushituka usingizini na kuingia jf
 
Inaonesha mkuu umeingia mwanza na budget ya buku 3000 kwa siku ...yapo maeneo mazuri ukala chakula safi ,tafuta mwenyeji akupeleke maeneo kama harden palace kama sijakosea

Kula hivyo vyakula mkuu urudishe heshima dar ..maana masai dar sio walinzi tena ni kuwauzia dawa tuu adi viungo vya pilau
 
Inaonesha mkuu umeingia mwanza na budget ya buku 3000 kwa siku ...yapo maeneo mazuri ukala chakula safi ,tafuta mwenyeji akupeleke maeneo kama harden palace kama sijakosea

Kula hivyo vyakula mkuu urudishe heshima dar ..maana masai dar sio walinzi tena ni kuwauzia dawa tuu adi viungo vya pilau
amekula huyo jamaa kamanga kwa buku
 
Dar es salaam ina wilaya tatu tu, je jiji la Mwanza lina wilaya ngapi? Ukishapata jibu hapo utajua kwa nini nimepinga
Nadhani amemaanisha population, biashara na maendeleo
Maana kijografia Dar ndio mkoa mdogo kuliko yte TZ
 
Mwanamme wa Dar anakuja na mada nyingine ili asisutwe. Sawa mwanamme wa Dar tumekusikia, kwa hiyo ulitakaje?
 
Ukitaka mambo ya burger,juice zilizoenda shule,kuku wa kuoka nenda Salma corne,

ukitaka chips za kiwango cha MacDonald ,kuku wa sampuli ya KFC nenda mgahawa wa Sizzler.

Mambo ya tea,coffee etc nenda SUNCITY hotel.

Mchemsho etc nenda Four ways ,ila hii sidhani kama bado ipo,

ukitaka mambo ya mishakiki ya kukanga,keki za kiwango cha kimataifa nenda Victoria Fast food.

Ukitaka mambo ya Roast kuku,samaki etc nenda Chrimas Tree,Aspen etc

ila biriani,pilao ndo itabidi uende kwa mama lishe
Asante
 
Buda ukija mjini tafuta ma alwataan wa mji,,,, unataka chakula kama cha almaida pale lumumba?..kesho mchana nenda mwanza hotel ukifika unga na barabara inayoelekea kwa mataa then ukifika hapo ulizia kwa wapemba wanapopika msosi......
Usiporidhika, niambie nikuelekeze chimbo lingine
Asante
 
Ukitaka mambo ya burger,juice zilizoenda shule,kuku wa kuoka nenda Salma corne,

ukitaka chips za kiwango cha MacDonald ,kuku wa sampuli ya KFC nenda mgahawa wa Sizzler.

Mambo ya tea,coffee etc nenda SUNCITY hotel.

Mchemsho etc nenda Four ways ,ila hii sidhani kama bado ipo,

ukitaka mambo ya mishakiki ya kukanga,keki za kiwango cha kimataifa nenda Victoria Fast food.

Ukitaka mambo ya Roast kuku,samaki etc nenda Chrimas Tree,Aspen etc

ila biriani,pilao ndo itabidi uende kwa mama lishe

Umemaliza kila kitu we mwanza kweli kweli
 
Back
Top Bottom