Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Wanaume wa dar wakigongewa wake zao wanakodi wanaume wa mikoani kuwasaidia kutatua marinda ya wagoni wao kisha wanaendelea na wake zao daah kuishi dar raha sana
Wanaume wa mikoani pamoja na kua na nguvu za kiume lakini wakigongewa madem zao either wanawauwa wapenzi wao hao na wenyewe wanajinyonga... wanaume wa mikoani dhaifu sana kuhimili mikiki mikiki ya kimapenzi..kwao wanawake ni kitu cha ajabu sana...
 
Wanaume wa dar wakigongewa wake zao wanakodi wanaume wa mikoani kuwasaidia kutatua marinda ya wagoni wao kisha wanaendelea na wake zao daah kuishi dar raha sana
Kikawaida wanaume wa Dar wakigongewa wanawake zao hua wanatafuta wanawake wengine sababu huku kwa asilimia kubwa hatuna njaa na madem, unaingia tu makumbusho, kariakoo, mwenge, tegeta au mawasiliano unang'oa mtoto mkare hataarii kuliko huyo aliezingua...
 
Hahahahaha aiseee unadanganya mchana kweupeeee. Ingekua hivyo shingongo asingeanzisha OFM
Kikawaida wanaume wa Dar wakigongewa wanawake zao hua wanatafuta wanawake wengine sababu huku kwa asilimia kubwa hatuna njaa na madem, unaingia tu makumbusho, kariakoo, mwenge, tegeta au mawasiliano unang'oa mtoto mkare hataarii kuliko huyo aliezingua...
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.

Unazungumzia ukubwa gani hapa?
 
Kikawaida wanaume wa Dar wakigongewa wanawake zao hua wanatafuta wanawake wengine sababu huku kwa asilimia kubwa hatuna njaa na madem, unaingia tu makumbusho, kariakoo, mwenge, tegeta au mawasiliano unang'oa mtoto mkare hataarii kuliko huyo aliezingua...
We naww n wa dar!! Simaanishi kua unatokea geographical area ya dar!!
Namaanisha kua na ww n mwanaume wa dar?
 
Icho kichuri ndo chenyewe
Pale sahara kuna mmoja Huyo anaitwaga mzee snake,,,,

,,,ugali nyama choma..ugali samaki wa kuchemsha,,,
Alafu kuna ugali wa mtama,,
,,,Kuna ugali na kichuri mura,,
Misosi orijino tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_2239.JPG
 
We naww n wa dar!! Simaanishi kua unatokea geographical area ya dar!!
Namaanisha kua na ww n mwanaume wa dar?
Swali lako halieleweki..umeuliza mimi ni wa Dar? Halafu haumaanishi kua ninatokea geographical area ya Dar..halafu pia hapo hapo unauliza ya kwamba mimi ni mwanaume wa Dar? Vipi wewe ni mwanaume wa mkoani nini ?
 
Swali lako halieleweki..umeuliza mimi ni wa Dar? Halafu haumaanishi kua ninatokea geographical area ya Dar..halafu pia hapo hapo unauliza ya kwamba mimi ni mwanaume wa Dar? Vipi wewe ni mwanaume wa mkoani nini ?
Ebu nikusaidie mkuu kiswahili kimekua
Mwanaume wadar-mwanaume legelege, mayai mayai
So doent necessary reflect geographic area
 
Back
Top Bottom