Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Siku hizi kupata migahawa ya bei za kawaida na bado wakakupa chakula kizuri imekuwa ngumu sana,wapishi kama yule anayelisha opposite na rocky city mall,ni adimu!Nampa hongera yule mama pale nje ya mall unajitahidi kukarangiza.
Lazma atakua cyo wa mwanza
 
Hivyo vingine umepotosha ila kwenye swala la ushamba ni kweli Mwanza bado kuna idadi kubwa wana kaushamba flani ivi utamjua mtu jinsi anavyoongea na kushangaa vitu vidogo vidogo na pia jinsi alivyovaa unajua kabisa huyu jamaa bado mshamba ni tofauti na mikoa mingine kama vile Dom Na Arusha watu wanajua kuvaa vizuri.
 
Kama vipi wekeza huko ufungue mgahawa classic upige hela
Nilikua nafikiria kama kuna mtu anaejulia misos kutoka dar,moro,tanga au mikoa mingne lazma apge hela balaaa
 
[e moji23] wanaume wa dar bana kila siku kutwa kuanzisha nyuzi kuhusu kukikandia mwanza ili mradi tu mpate point ya kuondoa ka unyonge kenu,hivyo vyakula ndo vinavyowapa nguvu wanaume wa mikoani.

Mafuriko yakitokea huwez mkuta mwanaume wa mkoani kabebwa mgongoni,au kaenda kusafishwa miguu baada ya kutembea kwenye tope never.

Daaah!
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Wanaume wa Dar utawajua tu yaani mpaka samaki anataka wakuuunga na matakataka sasa vibambala ndo utafanyaje?
 
Back
Top Bottom