Kina dada, tabia tegemezi & vizinga ni ya aibu na fedheha!

Kina dada, tabia tegemezi & vizinga ni ya aibu na fedheha!

hahahaaaa! ulivyoongea kwa huruma sasa, hamna bwana we tatua tu hizo shida, sasa umezikuta why uone uchungu kumsaidia?
Sio hivyo atoto kuna wenzenu yaani kama fisi umemkabidhi bucha anakula mpaka kigogo cha kucharangia nyama
 
khaaaa!! huo ni mtazamo wako, kazi tunafanya ila hela lazima watoe, na hata adofanya na akiomba yupo anayempa basi na aombe tu, simple like that.shida zipo ili zitatuliwe na kama yupo wa kukusaidia kuzitatua basi thats a blessing.
Kwanza sifa moja ya pesa ni kwamba PESA HUWA HAITOSHI hivo ukiwa na milioni mfukoni haimaanishi ukiona sh Mia imedondoka usiokote....
Mishahara ipo na mizinga ipo, hapa tu na mishahara kuwaomba watuongezee basi maneeeno ingekua hatuna mishahara je??? Si wangejichimbia mahandaki wahame kabisa... .
 
watoaji wanatoa tuuu walaaa huwasikii wakilia lia, sasa wale wavimba macho ndio lkelele utadhani wameshikwa kalio, wakae pembeni wapunguze jam.
Asieomba hela na asiombe tu mi naomba haki a mama....
Kama mzinga ni aibu nipo tayari kuaibika, SHIDA ZENYEWE HAZIJANIONEA AIBU NDO MAANA ZIKANIFATA
 
Kwanza sifa moja ya pesa ni kwamba PESA HUWA HAITOSHI hivo ukiwa na milioni mfukoni haimaanishi ukiona sh Mia imedondoka usiokote....
Mishahara ipo na mizinga ipo, hapa tu na mishahara kuwaomba watuongezee basi maneeeno ingekua hatuna mishahara je??? Si wangejichimbia mahandaki wahame kabisa... .
chi ndio hapo chacha!! hivi unadhani hata mleta mada angekuwa akipiga vizinga vinatiki angebwabwaja humu? nani hapenfi pesa? tena pesa ya kupewa tamu kweli maana hata ikipotea haiumi, itokee nimepoteza mshahara nitaumwa kila mahali.
 
Ushawahi sikia wanaume wenye pesa wanalalamika kuombwa hela? Hizi kelele za humu za wauza karanga ndo tusipumue..... Mtu ana anzisha thread eti kaombwa buku ten
Mizinga hauepukiki hadi pumzi ya mwisho
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umepinda sana
 
Hivi unaanzaje kuhonga hawara? God forbid kwa kweli. Kweli wanaume mnaohonga nawapa pole. Yani kabisa unapiga machine kucha, mkiagsna asubuhi umpe 100k? Ya nini, kwanza kakutoa jasho usiku (manake wengi siku hizi hawaridhiki, effects of changing partners), then ukiamka umpe pesa?

Vijana mliopo mawindoni nawahurumia sana.
 
Mwambie mwenyewe nimechoka mie. Mwanamke usisikie tu neno hela hahahhahaa

mama yaani nikisikia hela nahisi kudata kidogo, we acha hela iitwe hela, alafu ndio mtu ailetee uduwanzi!! thubutuuuu!!!
 
Jamani geisha mbona zipo buku mbili tu mwezi mzima unajipa mambo ya nape hakuna wa kukusumbua....
Bamia nazo zipo fungu mia tano tu unateleza kama umekanyaga ganda la ndizi
Kwa kweli ni heri nikatumia geisha kuliko kuhonga hawara ambaye hajulikani hata na mdogo wangu.
 
Asieomba hela na asiombe tu mi naomba haki a mama....
Kama mzinga ni aibu nipo tayari kuaibika, SHIDA ZENYEWE HAZIJANIONEA AIBU NDO MAANA ZIKANIFATA

ndio waanze kukesha na maombi shida nazo zituonee aibu, lasivyo vizinga haviishi na havitoisha.
 
chi ndio hapo chacha!! hivi unadhani hata mleta mada angekuwa akipiga vizinga vinatiki angebwabwaja humu? nani hapenfi pesa? tena pesa ya kupewa tamu kweli maana hata ikipotea haiumi, itokee nimepoteza mshahara nitaumwa kila mahali.
Cha kupewa kitamu haswaa, mi nikipewa naenda kukaa bar kwanza na sahani ya kitimoto ndo naanza kuhesabu ni sh ngapi ILA MSHAHARA NAUHESABIA CHUMBANI NIMEJIFUNGIA hata kidume cha mbegu namtimua asiwepo
Wabarikiwe wahongaji wote.....
 
mama yaani nikisikia hela nahisi kudata kidogo, we acha hela iitwe hela, alafu ndio mtu ailetee uduwanzi!! thubutuuuu!!!
Eeeh wewe hapo nakujua vizuri tu mbona. Ukirudi rudi basi na vijicent
chi ndio hapo chacha!! hivi unadhani hata mleta mada angekuwa akipiga vizinga vinatiki angebwabwaja humu? nani hapenfi pesa? tena pesa ya kupewa tamu kweli maana hata ikipotea haiumi, itokee nimepoteza mshahara nitaumwa kila mahali.
Hehhehe sipati nega hiyo siku ukipoteza mshahara teh teh. Nahisi ntacheka hadi nilie
 
Kwa kweli ni heri nikatumia geisha kuliko kuhonga hawara ambaye hajulikani hata na mdogo wangu.
Tumia tu bora wewe, kuliko wanaotaka vizuri kazi kujiliza, uno la bure kwa mkeo tu
 
Mwenzenu katoa ushauri wa msingi kabisa na wakati mwafaka wa 50% ya ushiriki mwanamke na mwanaume kila eneo. Nadhani wanawake wanaojitegemea wanaona fahari kubwa na wana amani maishani mwao. Badala ya kupiga vibomu hivyo, bora uamue kuwa changudoa.
Wanaume ni viumbe walio hatarini kutoweka,wamebaki wavulana.
 
Cha kupewa kitamu haswaa, mi nikipewa naenda kukaa bar kwanza na sahani ya kitimoto ndo naanza kuhesabu ni sh ngapi ILA MSHAHARA NAUHESABIA CHUMBANI NIMEJIFUNGIA hata kidume cha mbegu namtimua asiwepo
Wabarikiwe wahongaji wote.....

yaani wabarikiwe mpaka washangae ili zijae wazidi kutusaidia.
 
Back
Top Bottom