Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Kama ni kengele hata jogoo anazo....haya nayo ni maajabu mengine ya dunia, tangu lini mwanaume akalia lia katika kutimiza majukumu yake? hebu watuache tipumue huko wakatafute hela, wanadhani kuitwa 'mwanaumel ni kuning'iniza kengele zao tu.
Kufwanya hawajiwezi kuhonga wanalia hawa vepe qmaneenah