Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,963
Nyie wote, mwanaume na mwanamke ni maharage ya soya mbeya au yale ya njano ya siku hizi wanaita rojo!!!! Kama unajiheshimu kwa nini ulimtokea na mke unaye? Kama usingemtokea naye asingekuwa na wewe!! Wewe flaisi ya pekosi lako iko wazi halafu unamsakama mdada wa watu? Kwani kakuomba wewe hicho kinanihii chako? Dah!