Mr Dhaifu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 778
- 184
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...
Mkuu wewe sindio mlkmfuata sasa unamlaumu nani kwani usinge mtokea angekukubalia wanaume wenyewe sikuhizi hamshikiki mpaka muwindwe na angekataa ungeanza kulalamika oooh unaringa na mambo kama hayo kuwa makini usije kuacha watoto wako na mkeo kwa kufa na gonjwa la ukimwi wengine wanatembea lkn sio watu.