Kina dada mmezidi kuwa maji mara moja dah

Kina dada mmezidi kuwa maji mara moja dah

kweli ubin adam kazi!ukikubaliwa,ooh wanawake wako cheap!tukikataa,oohqananizungusha!,lipi jema jamani?......halafu ww ndo km pipi kabisa,una mke unamtaka wa nn!?...acheni kutudhalilisha bana!
 
I think kukubaliwa siku ya kwanza inategemea na kila mtu boss so usishangae
 
Hivi kukubaliwa haraka inamfanya mtu awe cheap?? sidhani, Kumbe hii desturi bado ipo katika mawazo ya watu, hivi kama yeye anakubaliana na matakwa yako kama unavyomtaka kuna mantiki gani ya kupotezeana muda ilihali atakukubalia tu mbeleni??

Mimi namuona huyo mstaarabu na anafuata sheria alizojiwekea na sio desturi zilizokutwa hata kama hazina mantiki ziendelezwe tu. Hongera zake kwa kuwa-focused kwenye anacho kitaka....wewe ulikuwa unajaribu tu ama pengine ulishajipanga kwa nenda rudi kibao.

Tunaita maharage ya mbeya maji mara moja yamesha iva.
 
kweli ubin adam kazi!ukikubaliwa,ooh wanawake wako cheap!tukikataa,oohqananizungusha!,lipi jema jamani?......halafu ww ndo km pipi kabisa,una mke unamtaka wa nn!?...acheni kutudhalilisha bana!

Msiwe mnakubali kirahisi hivyo
 
yani mkeo akuzungushe miaka miezi ndo akukubalie halafu na huyo dada akuzungushe wakti yeye yuko kimaslah aaaarrrgh....
Kwanza tulia na mkeo nyumbani
 
Ila mumezidi yaani siku hizi waweza kubeba mtu mama mtu na mdogo mtu at the same time na bado wakawa wanajuana na hawaachi........

Si wanakuona ***** ndo mana wanakukubali?
 
Huna maana mtunga thread wewe....hujasikiaga mambo ya #kimyakimya!??
Au ndo mara ya kwanza unatongoza nn!?? waiiiii...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom