Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Mie wangu namwita mchumba, coz tupo katika harakati za kufunga ndoa mwaka 2018
mie huwaita wanyama
na nimewagawa kwa makundi haya.
Farasi- wanaovaa high heels zinatoa sauti kwa kwa kwa
pundamilia - wanaopendeza kwa macho
twiga- wale wenye madaha
swala- wasumbufu sana kuwala, unatumia nguvu nyingi. Njoo kesho, njoo kesho ila mwishoni huliwa tu
nyumbu- hawana akili, unawala wakati unaotaka mwenyewe.
Mie wangu namwita mchumba, coz tupo katika harakati za kufunga ndoa mwaka 2018
:lol::eyebrows::lol:kongosho naona unaendeleza utata mtupu.
Wengne vicheche,mlupo,kazi,pambano.beki3 inategemea
duh.. kwa hiyo amyner ungemweka kundi gani mkuu
xory amyner, nilikua nemeenda kwa "long col" kimtindo! Mnayapenda coz mnayatumia. Utasikia msichana anazungumza "yule ni dem wa kaka'angu"..lol. Kama hamyataki hayo majina andaeni maandamano ya kupinga kunyanyaswa kijinsia! BEIJING ipo kuwatetea..
:lol::eyebrows::lol:
Pundamlia na farasi papo hapo
Naona kama ana high heels
mmh kako la 7 nini unakavutia mudaa?? iz long term plans kama zako mmh!
Akha! Majina ya kongosho siyataki mie.. Halafu we kongs umejuaje nna high heels au ndo wewe tulogongana pale dukani mchana leo eh?
Mie wangu namwita mchumba, coz tupo katika harakati za kufunga ndoa mwaka 2018
si ulinikaushia
ikabidi nifurahie madaha na high heels
mnapenda kugongana eeh!