kwa mfano washkji zangu cku hizi akiwa na mdada atakuambia...niko na "MFUGO"
au utasikia mwanangu kuna MIFUGO imepita hapa...
hebu nambieni nyote wabatizaji na wabatizwaji,nn chanzo cha majina haya...?
mfano utakupa max zaidi.
Dah! Mfugo tena....wengine wanawaita VITATASIO.
Wengine VING'AMUZI
file not match try to write again...
Nishaliscanaaah ndetichia unaniangusha aise...
ilo file kirusi kimetafuna sio?
Mnatuita majina mengi because mnatuhitaji sana.. Mnazunguuuka but thats the reality.