Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco

rejea "job description"
 
Defensive mechanism ya usimjadili mtu ila hali ime fail.. bandiko limejaa lugha za kinafiki na uoga.

Unajadili ukimya na kumwacha aliekaa kimya? Unazibwa fikira na nakuu!!! Sema wazi yaliyo kukera uwe huru
 
Matamko yanakuja kutokana na to what extend umeguswa na tukio husika eg kama mtu alisema kesho ni ukuta nchi zima,,,hapa lazima utaguswa na tamko tutatoa na mazoezi na rasimali watu na fedha zitakuwa at work.....so ukiguswa lazima utatamka tu on the spot sio baaada ya wiki au mwezi
Tuungane na mdau aliye-suggest matembezi ya hisani kila Mkoa kuchangia maafa haya..Mkuu anaonekana na aleji na mikusanyiko..Huenda atajitokeza
 
Kuna hadithi flani inazungumzia maisha ya mzee mbabe na mchawi katika kijiji flani......

"Mzee huyo alikuwa ni mbabe na mpenda sifa na alijiita MTUKUFU jambo ambalo ni kufuru kwa imani ya watu wa kijiji hicho, kwani watu hao waliamini kuwa jina MTUKUFU ni maalumu kwa Mungu wao tu.
Basi wale wanakijiji waliamua kumuomba Mungu wao ashushe adhabu kwa huyu anayemdhihaki.
Siku moja mvua kubwa na radi ya kutisha ilishuka kwenye kijiji hicho. Mvua na radi ile ilikuwa na madhara makubwa kwenye maisha na mali za wanakijiji hao.
Cha kushangaza ni miezi kadha na kadha kupitia bila yule Mzee mbabe na mchawi kuonekana wala sauti yake kusikika.
Siku moja ikaja bainika kuwa mzee huyo mbabe alikuwa amepatwa na Ugonjwa usiofahamika uliomfanya alale tu, kwani viuongo vyote vya mwili vilisimama kufanya kazi.
Kumbe ile mvua na radi zile ilikuwa ni adhabu iliyoshushwa na Mungu wa wale wanakijiji dhidi ya yule mzee mbabe na mchawi."

Mtanisamehe GT wote, kwa kuwapotezea muda kuisoma hadithi hii isiyohusiana na chochote kwenye mada hii.
 
Kwa wale mnaohoji kuhusu ushiriki JPM janga la MAAFA ya KAGERA subirini mshangae jinsi kiongozi huyu mahiri africa atavyowashangaza Watanzania.

Kumbukeni huyu ni mwanasayansi si mwanasiasa. Hapendi uongo na kudanganya watu kwa kujitokeza haraka haraka na kutoa ahadi za uongo. Yeye hufanya kazi zake kwa takwimu na kwa umakini akitanguliza maslahi ya wengi mbele na maslahi yake huyaa acha mbali kabisa.

Wanakagera VUTENI SUBIRA MTAFURAHI sana kipindi kifupi kijacho. Poleni kwa yote mnayopitia kwa sasa. Serikali yetu ni moja na watu wetu ni wa moja. Shida zenu ndio zetu.

Mungu awape uvumilivu muuvuke mtihani huu.

Wenu M2020.
Hapa kazi tu.
 
Ikulu aliyokuwa afikie nayo ilitetemeshwa wako katka ujenzi ikikamilika anaenda
 
Uso umeumbwa na aibu kina Ruge mzee wa Escrow ndio wenye uwezo wa kuiponya Bukoba ndani ya dakika tu lakini umeshatangaza unataka waishi kama mashetani.

Mabalozi waliambiwa wasiingilie mambo ya ndani wanashangaa wameitwa jumba jeupe kuombwa msaada baba mwenye nyumba haonekani, na mkumbuke wenzetu wazungu ni watu wa kukeep record, bado wana kumbukumbu na walimsikia Baba mtukufu akitamba Tanzania hatutaki misaada, je hata wewe Pasco utaanza vipi kuwaface watu kama hao uliowatambia?

Maskini hana kiapo na Shabaan Robert alituhasa tuweke akiba ya maneno.

Yale mapesa ya MCC zaidi ya dollar millioni 800 tuliyapiga teke leo kumfuata mzungu kumuomba msaada inaweza kusababisha waanzishe research center ya kuzifanyia research akili zetu.

Cha msingi tuendelee kumuombea tu.
Inasikitishana...Tuendelee na maombi tuu..
 
Kuna hadithi flani inazungumzia maisha ya mzee mbabe na mchawi katika kijiji flani......

"Mzee huyo alikuwa ni mbabe na mpenda sifa na alijiita MTUKUFU jambo ambalo ni kufuru kwa imani ya watu wa kijiji hicho, kwani watu hao waliamini kuwa jina MTUKUFU ni maalumu kwa Mungu wao tu.
Basi wale wanakijiji waliamua kumuomba Mungu wao ashushe adhabu kwa huyu anayemdhihaki.
Siku moja mvua kubwa na radi ya kutisha ilishuka kwenye kijiji hicho. Mvua na radi ile ilikuwa na madhara makubwa kwenye maisha na mali za wanakijiji hao.
Cha kushangaza ni miezi kadha na kadha kupitia bila yule Mzee mbabe na mchawi kuonekana wala sauti yake kusikika.
Siku moja ikaja bainika kuwa mzee huyo mbabe alikuwa amepatwa na Ugonjwa usiofahamika uliomfanya alale tu, kwani viuongo vyote vya mwili vilisimama kufanya kazi.
Kumbe ile mvua na radi zile ilikuwa ni adhabu iliyoshushwa na Mungu wa wale wanakijiji dhidi ya yule mzee mbabe na mchawi."

Mtanisamehe GT wote, kwa kuwapotezea muda kuisoma hadithi hii isiyohusiana na chochote kwenye mada hii.
Epushulia mbali..Mkuu hawezi kuwa kaparalaizi bana...Tuendelee kumuombea..
 
Marehemu wote hawana unasaba na vigogo unategemea nini
 
Kimya umekianza wewe kwa kuanza kutosema kimya unachozungumzia ni cha nani.

Mchezo wa vitendawili tega wengine hatuna muda nao kwa sasa.
 
Wakati mwingine nikiona kila ninapotoa kauli zinaleta mkanganyiko na kujadiriwa na international media likitokea linalogusa hisia za watu ni kuwa mpole kwanza ukichota busara na mini hasa la kusema. All in all hata Zambia kulitokeaga ukimya uliokanushwa lakini baadae ikawa public
 
Huu ni ochonganishi, Yule ni kiongozi wa taasisi muhimu inchini na chini yake wako watendaji wengi, majanga na ajali nchi hii hayajaanza jana wala leo, tumeona ajali na majanga ya mafuriko, tumeona ajali za Sepide etc, hapa naona mnatafuta lawama kwa kuwa tukio limetokea kanda ile ili badaye mseme, Mods naomba mfute Uzi huu.
You are not a GT WHY COMMENT?Tuliambiwa Safari imesitishwa ili kwenda kufuatilia hili janga.
 
Jambo hili linafurahisha sana kule Bukoba

Mtoto kala pilipili kwa bahati mbaya akiwa na mama yake jikoni akatoka mbio kwa Muwasho kama yule Usain bolt na kupata hasira akarusha mawe juu ya bati na kutoboa upande vilipo vyumba vya kulala.
Baba yake ni fundi Muashi na mpauaji maarufu pale Bukoba na "inji" nzima lakini jambo la kushangaza na kuteka mioyo ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kuomba msaada......

Picha linaendelea mtoto ameanza kutapika mbegu za pilipili wapita njia wanaziokota na kuzibandika nje ya Mikoba yao...tutafika tu.

Nimeiokota sehemu tu hii, c&p
 
Nilichogundua ni kuwa watu wanapenda sana kumsikia kila mara. Akiwa kimya akifanya kazi hawaamini mpaka wamsikie. Hivyo hii inatoa picha kwamba anapendwa sana na wananchi licha ya wanaharakati wa humu kumpigia kelele.
Kwanini aliahirisha safari yake ya Zambia...Press Release ya Ikulu ilisema anaahirisha ili kushiriki na wahanga wa Tetemeko....Mbona sasa hatumuoni..

Well! Kama aliahirisha ili kufanya majukumu mengine na sio la tetemeko, kwanini Ikulu isitishe safari ya Rais kwa kigezo cha Tetemeko..

Tumuombe...
 
Kukaa kimya hakumaanishi kua hatimizi wajibu wake. Au hatua hazikuchukiliwa.
 
Back
Top Bottom