britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,201
- 41,753
NHC kuijenga Bukoba,
Kwakweli hali hii inatupa wasiwasi!
WHAT'S COOKING?
Mkuu umemaliza kila kitu hapa.Uso umeumbwa na aibu kina Ruge mzee wa Escrow ndio wenye uwezo wa kuiponya Bukoba ndani ya dakika tu lakini umeshatangaza unataka waishi kama mashetani.
Mabalozi waliambiwa wasiingilie mambo ya ndani wanashangaa wameitwa jumba jeupe kuombwa msaada baba mwenye nyumba haonekani, na mkumbuke wenzetu wazungu ni watu wa kukeep record, bado wana kumbukumbu na walimsikia Baba mtukufu akitamba Tanzania hatutaki misaada, je hata wewe Pasco utaanza vipi kuwaface watu kama hao uliowatambia?
Maskini hana kiapo na Shabaan Robert alituhasa tuweke akiba ya maneno.
Yale mapesa ya MCC zaidi ya dollar millioni 800 tuliyapiga teke leo kumfuata mzungu kumuomba msaada inaweza kusababisha waanzishe research center ya kuzifanyia research akili zetu.
Cha msingi tuendelee kumuombea tu.
Much respect Mkuu,karma inajibu malipizi now.Naamini kwa dhati kabisa kuna mtu sasa hivi anapitia katika wakati mgumu sana kuliko tunavyoweza kufikiri.Mtu anaweza kujiona mwenye nguvu na mamlaka ya kumpatiliza kila anayemuhisi kuingilia maslahi yake,anaweza kuanzisha vita na kila mtu,lakini kadili anavyozikanyaga haki za wenzake ndivyo naye anavyojiingiza katika vita yake binafsi na nafsi yake.
Ni afadhari mtu ukateswa na maumivu ya mwili kuliko kuteswa na "KARMA", ukiyaruhusu matendo yako yakufikishe hatua ya kuuondoa utulivu wako wa ndani,unakuwa " umejiangika mwenyewe msarabani" na kuiruhusu KARMA isimame kinyume na matendo yako ya kidharimu uliyoyafanya dhidi ya wanyonge na wasio na nguvu ya kujitetea.
KARMA ipo kazini,imesimama badala yetu,inajibu mapigo ya haki kutokana na maneno na matendo ya muhusika.Hili ndilo linaloweza kuwa sababu ya hisia zetu,ngoja tusubiri hatima ya vita hii kuu ya kidhamiri ifanyikayo ndani ya mtu,naamini mpambanaji wetu"KARMA"atatuwakilisha vizuri katika mpambano huu usioonekana.
Una maana anatafutwa aliyesababisha tetemeko.. SijakuelewaBig issues to come.....let him finish......
..hili janga la bukoba limetoa funzo kubwa sana kwa mkulu....kelele hazilipi...leo unawabeza watu...alafu kesho unapata janga unawatafuta wakupe misaada....huyu ni Mungu anawaonyesha watu mapito....Tijifunze kuwa na akiba ya maneno. Ukubwa sio ufahari ni jukumu!
Sio lazima kuonekana, hata kutumia runinga kuzungumzia??? ..Yan hata tusimuone mkuu wetu akizungumzia jambo hili .???Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
Ndio upu.zi gani huu umeandika hapa..Kama ma GT ndo wako hivi basi hapa JF kuna vichekesho vya Sokomoko.
Mwenyekiti CCM JF
Hili wazo lina mashiko sana..Labda tutangaze matembezi ya hisani nchi nzima....anaweza kujitokeza.
Ila tuombe kuwe kwema......
Watakua walisababisha tetemeko wanatafutwa..Kimya kingi kina mshindo mkuu ngoja tusubiri.
Tushukuru kwa huu ukimya,
Kwani imesaidia kupungua kwa matamko yasiyo na kichwa wala miguu