Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Pasco: unauliza kishabiki na nyuma ya pazia la swali lako kuna dalili wazi na usiasa.

Labda na mimi nikuulize Pasco, kuhusu tetemeko ni jambo lipi unategemea kulisikia ambalo wahisi kuna ukimya?
 
Uso umeumbwa na aibu kina Ruge mzee wa Escrow ndio wenye uwezo wa kuiponya Bukoba ndani ya dakika tu lakini umeshatangaza unataka waishi kama mashetani.

Mabalozi waliambiwa wasiingilie mambo ya ndani wanashangaa wameitwa jumba jeupe kuombwa msaada baba mwenye nyumba haonekani, na mkumbuke wenzetu wazungu ni watu wa kukeep record, bado wana kumbukumbu na walimsikia Baba mtukufu akitamba Tanzania hatutaki misaada, je hata wewe Pasco utaanza vipi kuwaface watu kama hao uliowatambia?

Maskini hana kiapo na Shabaan Robert alituhasa tuweke akiba ya maneno.

Yale mapesa ya MCC zaidi ya dollar millioni 800 tuliyapiga teke leo kumfuata mzungu kumuomba msaada inaweza kusababisha waanzishe research center ya kuzifanyia research akili zetu.

Cha msingi tuendelee kumuombea tu.

Sasa naanza kumwelewa anavyoomba tumwombee. Tuna vingi vya kumuombea... sio kuongoza nchi peke yake.

Ngoja tuweke akiba ya maneno kwanza
 
Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco

Pasco unanifurahisha huna tofauti na kinyonga.Ukipata tenda serikalini na mashirika yake unakuwa CCM kwa muda.Tenda ziikiisha unarudi kule UKAWA ulikokuwa kwa Lowasa.

Haya PASCO
 
Sasa hivi hakuna hoja za viroja wala maneno bila uhakiki na utafiti uliojitoshereza.

kampeni zifikie mwisho sasa taasisi za utawala zionyeshe mwenendo...
 
Pasco unanifurahisha huna tofauti na kinyonga.Ukipata tenda serikalini na mashirika yake unakuwa CCM kwa muda.Tenda ziikiisha unarudi kule UKAWA ulikokuwa kwa Lowasa.

Haya PASCO
Kwenye hii thread.Pasco alishatowa angalizo ni kwa akili kubwa tu, sasa wewe poyoyo unadhani ni lazima kila thread uchangie hata kama imekuvuka upeo?
 
Labda wamemziba mdomo kuhofia atakachoongea...
Kwenye ile series ya 24 hours jamaa walipata raid incompetent wakawa wanalazimika kumuweka lock up pale Ikulu halafu zile issues wanazijadili na rais mstaafu, wakimaliza wanamkabidhi yeye (rais) akazisome na kyzitolea ufafanuzi kwa taifa mbele ya wanahabari.
 
Hahaha uzi kama sio Gt upite kimya ,mwisho hapo Pasco sio Gt ila ndio kaleta mada
Sasa kwanini hukukaa kimya ukaleta uzi ?

Kichwa kinauma

Anyway huo ukimya unatisha na kuzidi kukaa kimya kunafanya binadamu wengine wazidi kufikiri nje ya mada yako ,
Hivyo hilo la kudiscuss ideas badala ya mtu naona halina uzito wacha nipite zangu mimi nisiye GT
 
Niliuliza swali hapa, huyu jamaa kafuta ziara ya Zambia kutokana na tetemeko sasa mbona hakuna hata kapicha kamoja tu kakimuonyesha akiwapa pole wahanga wa tukio lile au akitembelea maeneo yaliyoharibiwa!? Hakukuwa na jibu Mkuu. Mie nahisi kimepanda sasa wanamficha mpaka atulie ndiyo wamruhusu tena kuonekana hadharani.

Hii hali ya kutuficha Watanzania kile kinachoendelea si sawa hata kidogo.

Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco
 
Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco
Pasco acha mikwala!
Jamaa anatoka povu sana.kila akiongea anatoa point kwa wakosoaji.naona safari hii anamezeshwa desa.pia aliharibu sana kule Shinyanga na kukataa kuwafidia wahanga wa mafuriko.anaona akijitokeza sasa na kutoa kauli ya msimamo wa kusaidia kurejesha nafasi za wahanga wa Kagera itakuwa double standard,wakosoaji watamvamia bila kujari freedom of expression.
Mwisho kwa nchi makini kama USA hata kifo cha mtu mmoja wakati mwingine kinamfanya mhusika atoe kauli badala ya ukimyaa.so jamaa yuko pant down ndio maana amekituliza.
 
Asante sana Pasco kwa kutambua upeo wetu humu magreat thinkers.

Tumuombe Mungu azidi kumlinda mheshimiwa rais atekeleze majukumu yake kwa watanzania.

Kila la kher raisjitafakar
 
Kuna kipindi viongozi wetu huwa wanapenda kutetea hoja zao kwa kutolea mifano nchi zingine na zaidi wengi upendelea kuitaja Marekani. Sasa mie hapa napo pamenigusa kidogo, hebu tuachane na Marekani Taifa kubwa sana na kwangu mie huwa sioni usahihi wowote kujilinganisha na Marekani kama ambavyo hata wao (watawala) leo wasingependa kuilinganisha nchi yetu na Marekani katika hili tukio, tokea day 1 hadi hivi sasa.

Ila naelewa zipo nchi nyingi sana tena mifano ya kutosha, tujilinganishe walau na majirani zetu Afrika na zile zingine za kawaida. Katika matukio makubwa ya hivi hawa wenzetu wao huwa wana react vipi na kwa mda gani? Mfano nzuri ni Kenya, kulitokea la westgate na lile la Garisa. Ila tusiache pia kulitizama lile la 1996 na jinsi lilivyoshughulikiwa na yule wa wakati ule. Siku ya 6 tokea 21, yaani 27.

Ni nini kilikuwa ama tunaweza kukifananisha na siku 6 za leo, yaani tokea 10, kwa waliokuwepo basi mnaweza mkasaidia kuvuta kumbukumbu kwa umakini kabisa na mwisho tutaona hili kwa leo tulisemeje.

Karibu mkuu Pasco.
 
Back
Top Bottom