Janga la tetemeko ni la kustukiza sana, inawezekana kuna mambo anayafuatilia kimya kimya kuhusiana na mapokezi ya janga kama hili haswa kwa vikosi husika vinavyopaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanaathirika wanafarijika. Vinginevyo tusubiri kujulishwa.