Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.

Watetezi wa makaburu na wafuasi wa mfalme wanajulikana tu kwa comments zao
 
Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Uraisi ni taasisi yenye watu wengi.Kuna wakuu wa wilaya,mikoa,mawaziri,viongozi wa taasisi nk wote ni sehemu ya taasisi ya uraisi.Hadi waziri mkuu keshafika na kusema kuhusiana na tetemeko.Wakuu wa mikoa wameongea,wilaya wameongoa,bunge limeongea,yaani watanzania wanapenda sana kusikia watu wakiongea.(WANAPENDA LONGOLONGO).

Nchi zote zenye watu wanaopenda kuongea sana na kusikiliza maongezi sana zinaongoza duniani kwa umaskini.Hata Tanzania angalia maeneo ambayo watu huongea sana watu wake ni maskini.Hata dini zenye watu wanaoongea sana ni maskini.Hata waandishi wa habari waongeaji sana wengi maskini.

Nchi zisizoongea sana kama za ulaya,china,japan wako mbali mno kimaendeleo.
Tanzania likitokea tetemeko watataka kila mtu akeshe akiongea si kila mtu ni mwongeaji wengine ni watu wa vitendo zaidi.Hukaa kutulia kupanga kipi kifanyike nk si kila mtu ni domokaya.

Ndio maana hata mtu akifa nyumbani hutakiwi kupiga yowe MBIO MBIO.unatakiwa utulie umweke vizuri asije kuwa kafa hovyo kajinyea yuko hovyo watu wakaja watashangaa huyo maiti alivyo hovyo na waweza hata kukuzaba vibao kuwa ulikuwa humwangalii vizuri hadi kafariki hovyo hivyo
 
Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.

Boss umemuelewa Pasco ? usichanganye uzi huu na ule wa Mzee Mwanakijiji Japo Maudhui yanafanana. Anauliza ukimya huu una nini?
 
Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco

Pasco , wewe si ndio bingwa wa kuwajua hawa watu? Si utwambie kutoka vyanzo vyako makini "kulikoni"? Ukiishi kwa ramli, hata paka akikupitia unaweza kuzimia na ukiota popo katua kwenye jicho lazima ukaague!!! Ramli si nzuri mkuu! Si ajabu watu wako kuagua....
 
Kimya kingi kina mshindo mkubwa, na kwenye tukio la tetemeko ukimya huu si mzuri. Ndugu zetu wa Kagera was supposed to get a consolation and a pet on the shoulder. Salamu za rambirambi kusomwa tu hazifariji zaidi ya kuongeza chuki.
 
Wajemeni,
Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote hili akiwa tukio popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimekusibu? !.

Kwa maoni yangu, kimya hiki sii bure, lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila hatuambiwi! .
Jee tuna haki kuhoji au kuuliza?!.

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere?!, Jee hii ni kawaida au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pongezi na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi kwa sababu is not for you.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss event na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or there is something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote ! .

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu wala kuzungumzia event bali kwa kuzungumzia if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right! .

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1😛asco wa JF sio GT ila anauwezo wa kupandisha contents za maandamano GT.

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression.

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc etc hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco
Matamko yanakuja kutokana na to what extend umeguswa na tukio husika eg kama mtu alisema kesho ni ukuta nchi zima,,,hapa lazima utaguswa na tamko tutatoa na mazoezi na rasimali watu na fedha zitakuwa at work.....so ukiguswa lazima utatamka tu on the spot sio baaada ya wiki au mwezi
 
Alishikwa na ganzi ila taratibu hali inatengamaa na atatoa tamko,mana tulikuwa tunarekebisha hali ya uchumi kama mnavyoona mambo siyo mabaya unakuwa kwa spidi wa ndege mpya japo wanadai ni mapanga boi ila yanatua viwanja vyote TZ,na kama mlivyoona taasisi tunayoiamini kama chama ya TWAWEZA imejibu maswali ya watanzania wote,muda si mrefu mtaisikia kauli yake acha kwanza taasisi binafsi,makampuni,watu binafsi watoe michango yao halafu kile kitachobakia tutamalizia....Tunaposema tunamaanisha hakika TZ ya viwanda bubu inakuja hiiiiiii!
 
Back
Top Bottom