Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kwa wale mnaohoji kuhusu ushiriki JPM janga la MAAFA ya KAGERA subirini mshangae jinsi kiongozi huyu mahiri africa atavyowashangaza Watanzania.

Kumbukeni huyu ni mwanasayansi si mwanasiasa. Hapendi uongo na kudanganya watu kwa kujitokeza haraka haraka na kutoa ahadi za uongo. Yeye hufanya kazi zake kwa takwimu na kwa umakini akitanguliza maslahi ya wengi mbele na maslahi yake huyaa acha mbali kabisa.

Wanakagera VUTENI SUBIRA MTAFURAHI sana kipindi kifupi kijacho. Poleni kwa yote mnayopitia kwa sasa. Serikali yetu ni moja na watu wetu ni wa moja. Shida zenu ndio zetu.

Mungu awape uvumilivu muuvuke mtihani huu.

Wenu M2020.
Hapa kazi tu.
Alituhaidi kutuonesha Salary Slips zake akiwa Chato...alizionesha!?
 
Ni kweli kila mtu anayofalsafa na mtindo wake wa kuongoza lakini katika hili hata mimi napata kizunguzungu! After all, mheshimiwa hakuanza na mtindo huu. Angeanza hivi hatungejiuliza maswali mengi maana angekuwa ameshajipambanua nasi hatungepata shida kumeelewa.
 
Hahaa nimeona hadi Mwanakijiji nae anauliza kuna nini?

naona labda kuna kitu 'very serious' going on...

Labda .........vipengele vya sheria vinatazamwa kabla ya tamko..

labda.....
Kumbe siku hizi kuna vipengele vya sheria vinaangaliwa kabla ya "kutoa matamko"? Haya yakuwa mabadiliko chanya.
 
Think GT Think! What is going on is very abnormal. There is no harm to speculate.

Mkuu amejifungia anafanya matambiko, maana hii si kawaida kwa kule bukoba kiongozi ukianza na majanga kama haya ujue hutoboi, Mara sukari zafichwa, Mara pesa zafichwa, mara jua lapatwa, mara matetemeki, mara wakulima was nyanya wapatwa, ni nuksi kwenda mbele
 
Akimaliza kuzungusha bakuri kwa wazungu na matajiri atasema tu , naona juzi wizara na idara za serikali na mashirika yake kampuni zake walikuwa wakijitanua tanua kutoa fedha sijui walituomba ruhusa wananchi au ndio mwendelezo wa matumizi mabaya eti hata Muhimbili walikuwepo , Magufuli kakata pumzi asubuhi na mapema
 
Kwani ukinyamaza si utaonekana zimo kuliko kujidhalilisha kiasi hiki, hivi unamaanisha majanga mengi yapi hayo ya kila siku? Au kama ni uongozi wa kiuchwara tulio nao kila siku hapo sawa hilo kweli ni janga la kila siku kinyume na hapo basi janga litakuwa ni kwenye fikra zako tu.



Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
 
Hivi picha za Dau kuapishwa ziko wapi ..............!!?

Labda alianza kuadimika baada ya hilo tukio:

Dau.png

Dau.png
 
tofauti na sisi wa kisayansi kuna wanaoamini kupatwa kwa jua ni ishara mbaya kwa ufalme, ukiunganisha tetemeko na njaa kubwa inayotarajiwa kutokana na ukame unaotarajiwa, isitoshe inaelezwa katika utawala huu kutatokea kupatwa kwa mwezi pia, lazima ajitafakari na aombe nusra.
 
kimya hiki si sawa, ila pengine ipo sababu ya kuwepo kimya hiki, tujipe muda mpaka ukimya huu utakapovunjwa ndo hapo tutajua ni ipi ilikuwa sababu ya ukimya. Tujipe muda naamini kitasemwa kitu, haiwezi kubaki kimya dumu daima[/QUOTEin]
Madhila yaliyowakuta wahanga wa
Mvua ya mawe kule Msalala - Kahama yameleta kigugumizi. Ili nchi isipasuke vipande ni lazima kukaa kimya!!
 
Pasco waswahili wanasema "kimya kingi kina mshindo" tusubiri kusikia mshindo wa kimya hiki.

Lakini pia wakat flan kunyamaa ni bora zaidi kuliko kuzungumza kuna watu tunaweza zungumza tukasababisha tetemeko la nchi nzima badala ya kanda ya ziwa peke yake.

Lakini pia unaponiona nanyamaza sijaweka bandiko lolote kuhusiana na tetemeko ni kwakiwa nafanya mazoezi ya kuzungumza maeneo kama hayo. Kuna namna yake ya kuzungumza nisije nikajisahau na kusema tetemeko lile ni uzembe wa wananchi wa huko au watu wanafanya hujuma.nahitaj muda nifanye mazoez na baadaye nitaleta bandiko.
Lakini pia mazoea nliyo nayo ni tatizo binafsi nmezoea ubabe na kupiga beat. Sasa nije kuongelea habari za walioathirika na janga ni issue inayohitaj utulivu.






Wajemeni,

Tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi bukoba Tanzania, kuna sauti fulani ilipaswa kusikika, lakini hadi leo hii ni siku ya 7 sauti hiyo bado haijasikika kusema lolote au kuonekana popote kuhusiana na tukio hili!.
Hali hii sii ya kawaida na kimya hiki sii cha kawaida ambako pia kutokuonekana popote eneo la tukio au kutokulizungumzia lolote akiwa popote sii kawaida! . Jee kuna nini au nini kimemsibu? !.

Kwa maoni yangu, lilipotokea tuu, mimi miongoni mwa tuliotaraji kusikia neno moja tuu kutoka kwake, na roho zetu zingeponywa, ila mpaka leo ni kimya kabisa!. Nadhani kimya hiki sii bure, hivyo kunauwezekano huu ukimya lazima kuna jambo!, tena sii dogo ni kubwa ila labda hatuambiwi! .

Swali la msingi ni jee tuna haki kuhoji kulikoni?!, au kuuliza atafanya nini?!. Mbona hajaongea au hata kuonekana tuu bila hata kuongea? !.

Kimya hiki, is not right!, could there be something wrong somewhere somehow?!. Jee hii ni kawaida?!, au mimi ndio niko wrong kuulizia jambo ambalo there is nothing wrong?!.

Japo statement ilitolewa, statement ni statement na kauli ni kauli, zingekuwa statement tuu zinatosha, kusingekuwa na sababu watu kuhudhuria misiba, tungekuwa tunatuma tuu salamu za pole na zikatosha!.

Watu tunashauku ya kusikia sauti, tunataka kusikia kauli kwa masikio yetu na kuona kwa macho yetu na sio kutolewa tuu kauli ya maandishi ya salamu za rambi rambi, au pole za maandishi pekee!. Pole ya sauti huku mtu akionekana inafaraja zaidi kuliko salamu za rambi rambi ya maandishi pekee!.

Jee wale wenzangu na mimi mmenielewa?, au mmetosheka?, mmeridhika na kimya hiki? , and is it right?!.

NB.
Uzi huu is meant kwa ma GT tuu wa humu jf. Wewe kama sio GT, nakuomba tafadhali sana usichangie chochote uzi huu kwa sababu is not ment for you!.

Great mind discuss ideas, ordinary minds discuss events na simple mind discuss people! .

Hili sio bandiko la kudiscuss people bali ideas kuwa ukimya huu is it normal? , is right? or could there be something wrong somewhere?!.

Kipimo cha kwanza cha wewe kujipima if you are GT or not ni iwapo utajiuliza kimya cha nini na kimya cha nani kuhusu tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba.

Ukijiuliza tuu maswali hayo, jihesabu you are not, hivyo please just jisomee tuu bandiko hili na ujipitie zako bila kuchangia chochote!.

Ma GT, wa humu jf, wanajua ni nani bila hata kuuliza na subject matter ya bandiko hili sio people, sio event bali ideas kuhusu conduct kuhusiana na tukio lenyewe! .

Hivyo nashauri, hata ilitokea wewe kuwa you are not a GT, I beg you, please jifanye kama you are a GT kwa kutotaja jina lolote la mtu yoyote humu wala sio kuzungumzia event ya mafuriko, bali kwa kuzungumzia the idea ya huu ukimya, if kimya hiki ni right, why is it right?, lakini kama kimya hiki is not right, why is it not right?!.

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Pasco
Note 1.
Pasco wa JF sio GT, na ndio maana hatathubutu kuchangia lolote katika uzi huu bali mwisho wa uwezo wake ni kupandisha tuu bandiko hili kwa ajili ya ma GT wetu humu jf! .

2.Sababu za kuomba tusitaje taje majina ni kufuatia kufunguliwa kwa kesi nyingi kuhusiana na freedom of expression katika mitandao ya kijamii. Tumeshuhudia mtu ana ji express feelings zake kuhusu mtu fulani anafunguliwa mashitaka ya kumdhalilisha mtu! .

Mfano inawezekana kabisa jamaa akawa yuko very wrong, ukisema fulani is wrong unaweza kushangaa kesho unaambiwa ulimtukana fulani etc. etc., hivyo kwenye discussion za great minds hakuna haja ya kutaja taja majina! .
Pasco
 
BAK said:
Hivi mara ya mwisho alionekana lini? Hili nalo ni muhimu kulijua.



...alionekana zenj akimkamia maalim seif kwa shein...na baadae udsm akikagua bweni....hadi leo ameshindwa kuonekana kwenye janga kagera...hata watoa hela walienda ikulu kuchangia hakuonekana...this is serious... Something is fishy here..
 
Kama ma GT ndo wako hivi basi hapa JF kuna vichekesho vya Sokomoko.

Mwenyekiti CCM JF

I agree. Hamna "great thinking" yeyote hapa. It is a conspiracy theory, at best. Hatahivyo nakubaliana na maoni yake kuwa Rais kusema chochote kwa kauli yake na akasikika na kuonekana kwa wahanga hasa, lingekuwa ni jambo la busara na la kufariji zaidi. But, again, that's just what I think. Wengine, pamoja na yeye mwenyewe Rais, wanaweza kuwa na mtazamo tofauti.
 
.....Siku zote panapofuka moshi.......

...alionekana zenj akimkamia maalim seif kwa shein...na baadae udsm akikagua bweni....hadi leo ameshindwa kuonekana kwenye janga kagera...hata watoa hela walienda ikulu kuchangia hakuonekana...this is serious... Something is fishy here..
 
Back
Top Bottom