Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Huu ni ochonganishi, Yule ni kiongozi wa taasisi muhimu inchini na chini yake wako watendaji wengi, majanga na ajali nchi hii hayajaanza jana wala leo, tumeona ajali na majanga ya mafuriko, tumeona ajali za Sepide etc, hapa naona mnatafuta lawama kwa kuwa tukio limetokea kanda ile ili badaye mseme, Mods naomba mfute Uzi huu.
Yapi yamefanyiwa harambee mkuu? Pasco ana hoja hapa.
 
Uso umeumbwa na aibu kina Ruge mzee wa Escrow ndio wenye uwezo wa kuiponya Bukoba ndani ya dakika tu lakini umeshatangaza unataka waishi kama mashetani.

Mabalozi waliambiwa wasiingilie mambo ya ndani wanashangaa wameitwa jumba jeupe kuombwa msaada baba mwenye nyumba haonekani, na mkumbuke wenzetu wazungu ni watu wa kukeep record, bado wana kumbukumbu na walimsikia Baba mtukufu akitamba Tanzania hatutaki misaada, je hata wewe Pasco utaanza vipi kuwaface watu kama hao uliowatambia?

Maskini hana kiapo na Shabaan Robert alituhasa tuweke akiba ya maneno.

Yale mapesa ya MCC zaidi ya dollar millioni 800 tuliyapiga teke leo kumfuata mzungu kumuomba msaada inaweza kusababisha waanzishe research center ya kuzifanyia research akili zetu.

Cha msingi tuendelee kumuombea tu.

Point mkuu, umetema "mayai" matupu tena ya kuku wa kienyeji na yaliyokaangwa kabisaaaa tayari kuliwa!!

Na nadhani haya ndiyo yanamfanya ajifiche ndani kujiuliza na kutafakari kwa kina juu ya atokako na aendako, jambo ambalo ni jema tu!!

Unajua ndugu, huyu Mungu wetu aliyehai, kamwe huwa hadhihakiwi?

Ni wazi kuwa Mungu kaamua kumfunga shetani kwanza asimsogelee kabisa "mtukufu" wetu na kumruhusu roho mtakatifu pekee awe katikati yake huku akiwa amewekewa kioo kikubwa kikiya - reflect yote yaliyoamuliwa, kutendwa na kutamkwa naye directly au indirectly na wasaidizi wake tangu Desemba mwaka jana mpaka juzi kule Zanzibar na impact yake katikati ya wana wa Israel (wananchi!)
 
Pasco,

Yesu alisema msinililie mimi bali zililieni nafsi zenu na za watoto wenu........ najiandaa kwenda kwenye mkutano mkubwa wa kimataifa hivyo lazima nijiweke vizuri ntasema nini na kwa lugha ipi.

ni hayo tu
 
Waziri mkuu si alishawakilisha Kagera? ikumbukwe Tanzania ina majanga kila siku tena ni mengi mno. sasa huo ukimya mnao question mngependa mtu ajigawanye mara ngapi? jipe mfano wewe na familia yako, ni mara ngapi mmeweza kuwepo kwenye tukio wote kwa pamoja iwe msiba, sherehe, kuona mgonjwa N.K? mimi nahisi Pasco unalo unalolitafuta au unalo unalojua na kama unalo unalojua basi kufwa free ku share nasi. After all sharing is caring. Sambaza upendo mkuu.
upo sahihi ndugu
 
Hahaa nimeona hadi Mwanakijiji nae anauliza kuna nini?

naona labda kuna kitu 'very serious' going on...

Labda .........vipengele vya sheria vinatazamwa kabla ya tamko..

labda.....
Labda ameanza kuwa msikivu, wamemshauri anyamaze labda!!!!
 
Back
Top Bottom