UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,320
Sujui utaachaje kumdiscuss mtu kwa mada hii ,tuwaachie GT kama Pasco alivyosema ,ngoja niende MMU kidogo naweza kutana na kisa cha mpemba...mie naona hii imekaa kumdiscuss mtu zaidi, mwee...
Sujui utaachaje kumdiscuss mtu kwa mada hii ,tuwaachie GT kama Pasco alivyosema ,ngoja niende MMU kidogo naweza kutana na kisa cha mpemba...mie naona hii imekaa kumdiscuss mtu zaidi, mwee...
Mkuu ukiunganisha Dot......bandarini.......Dot..........
Maisha ya watu kuwa magumu .....ukaongezea kuwatukana wafanya biashara alafu janga limekuja ndio inabidi wakuchangie .................
Hata kama ningekuwa Mimi ningekaa kimya !!!
Ukumuona wakati anamuapisha Dr DauSwali la msingi ni jee tuna haki kuhoji kulikoni?!, au kuuliza atafanya nini?!. Mbona hajaongea au hata kuonekana tuu bila hata kuongea? !.
bora akae kimya...kuongea hapo waweza tafta Rambo mwenywe
hahah ni kweli kbs kapo kwa mbaali ukizoom unakaonaNaona ka-uchochezi kwa mbaali!
hehehe hvyo hvyo ndo utatafta akianza kuongea..Hahahahahaa...
Umenikumbusha vile viRambo wanavyopewa abiria wa pemba
Kuna hadithi flani inazungumzia maisha ya mzee mbabe na mchawi katika kijiji flani......
"Mzee huyo alikuwa ni mbabe na mpenda sifa na alijiita MTUKUFU jambo ambalo ni kufuru kwa imani ya watu wa kijiji hicho, kwani watu hao waliamini kuwa jina MTUKUFU ni maalumu kwa Mungu wao tu.
Basi wale wanakijiji waliamua kumuomba Mungu wao ashushe adhabu kwa huyu anayemdhihaki.
Siku moja mvua kubwa na radi ya kutisha ilishuka kwenye kijiji hicho. Mvua na radi ile ilikuwa na madhara makubwa kwenye maisha na mali za wanakijiji hao.
Cha kushangaza ni miezi kadha na kadha kupitia bila yule Mzee mbabe na mchawi kuonekana wala sauti yake kusikika.
Siku moja ikaja bainika kuwa mzee huyo mbabe alikuwa amepatwa na Ugonjwa usiofahamika uliomfanya alale tu, kwani viuongo vyote vya mwili vilisimama kufanya kazi.
Kumbe ile mvua na radi zile ilikuwa ni adhabu iliyoshushwa na Mungu wa wale wanakijiji dhidi ya yule mzee mbabe na mchawi."
Mtanisamehe GT wote, kwa kuwapotezea muda kuisoma hadithi hii isiyohusiana na chochote kwenye mada hii.