Kimya cha VP, Bi Samia Suluhu tukitafsiri vipi?

Kimya cha VP, Bi Samia Suluhu tukitafsiri vipi?

HNIC

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
1,898
Reaction score
2,202
Bosi wake Ndugu Magufuli anapiga kazi kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saaa 4 usiku. Monday to Monday. Na impact yake ishaanza kuonekana

sasa kimya cha makamo wa Rais bi Samia Suluhu kinaashiria nini? Ina maana kashaanza kum sabotage bosi wake au ndio insubordination au ndio yeye hajali kabisaa na haa matatizoyetu hayajali?

Kwa kuwa serikali yetu inafanyakazi kwa style ya MANAGEMENT BY WANDERING AROUND (MBWA), iweje huyu mama ashindwee kwenda TRA, TRC, TPA na kutuambia ofisi yake inafanya nini kumsaidia Ndugu Magufuli?

Kama ataendelea kukaa kimya bora aondoke ili tuletewe mwingine mchapakazi (kwa zanzibar sina hakika kama wapo wanawake ambao wanapiga au wanaweza kwenda na spidi ya ndugu magufuli) , Kama wapo nashauri magufuli awe na list yake stand by. HUyu Suluhu sioni tofauti yake na saada mkuya
 
Under Magufuli kuna job description?
 
Kasi ni kubwa mno haiwezi.Huyu saizi yake ilikuwa ni kufanya Kazi na SITA lkn cyo magufuri.
 
Pamoja na kuwa mimi ni ukawa, lakini mama Samia ana hekima kwa asilimia sabini, ni vigumu kufanya kazi na Pombe mwenye hekima asilimia kumi na moja tu. Vurugu tupu. Muda si mrefu Pombe ataamuru jengo la Tanesco pale Ubungo livunjwe.
 
Pamoja na kuwa mimi ni ukawa, lakini mama Samia ana hekima kwa asilimia sabini, ni vigumu kufanya kazi na Pombe mwenye hekima asilimia kumi na moja tu. Vurugu tupu. Muda si mrefu Pombe ataamuru jengo la Tanesco pale Ubungo livunjwe.

Hata angekuwa hana hekima kabisa, let say zero capacity of wiseness....kwa haya aliyoyafanya siku hizi tatu tu...naomba aendelee kuikosa hiyo hekima. Hiyo hekima ndio imetufikisha hapa. Sasa ni mwendo wa tingatinga tu.
 
Pamoja na kuwa mimi ni ukawa, lakini mama Samia ana hekima kwa asilimia sabini, ni vigumu kufanya kazi na Pombe mwenye hekima asilimia kumi na moja tu. Vurugu tupu. Muda si mrefu Pombe ataamuru jengo la Tanesco pale Ubungo livunjwe.
Khaa!! Chief mida ya hekima iliisha kitambo sana. Sasa hivi KARUME KENGE LAZIMA AENDE SHULE! 😎
 
Bosi wake Ndugu Magufuli anapiga kazi kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saaa 4 usiku. Monday to Monday. Na impact yake ishaanza kuonekana

sasa kimya cha makamo wa Rais bi Samia Suluhu kinaashiria nini? Ina maana kashaanza kum sabotage bosi wake au ndio insubordination au ndio yeye hajali kabisaa na haa matatizoyetu hayajali?

Kwa kuwa serikali yetu inafanyakazi kwa style ya MANAGEMENT BY WANDERING AROUND (MBWA), iweje huyu mama ashindwee kwenda TRA, TRC, TPA na kutuambia ofisi yake inafanya nini kumsaidia Ndugu Magufuli?

Kama ataendelea kukaa kimya bora aondoke ili tuletewe mwingine mchapakazi (kwa zanzibar sina hakika kama wapo wanawake ambao wanapiga au wanaweza kwenda na spidi ya ndugu magufuli) , Kama wapo nashauri magufuli awe na list yake stand by. HUyu Suluhu sioni tofauti yake na saada mkuya



Tehe tehee eee taratibu mkuu mbona mapema sana

Ushafanya kaz na watu wa pande hizo lakini?
 
Khaa!! Chief mida ya hekima iliisha kitambo sana. Sasa hivi KARUME KENGE LAZIMA AENDE SHULE! 😎

Sijakuelewa, mimi nimesema mimi ni ukawa lakini naelewa kuwa Samia ana hekima kuliko Pombe, je wewe unasemaa!
 
Pamoja na kuwa mimi ni ukawa, lakini mama Samia ana hekima kwa asilimia sabini, ni vigumu kufanya kazi na Pombe mwenye hekima asilimia kumi na moja tu. Vurugu tupu. Muda si mrefu Pombe ataamuru jengo la Tanesco pale Ubungo livunjwe.

Duuuh... Kumbe una kipimo cha hekima...?
 
Bosi wake Ndugu Magufuli anapiga kazi kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saaa 4 usiku. Monday to Monday. Na impact yake ishaanza kuonekana

sasa kimya cha makamo wa Rais bi Samia Suluhu kinaashiria nini? Ina maana kashaanza kum sabotage bosi wake au ndio insubordination au ndio yeye hajali kabisaa na haa matatizoyetu hayajali?

...
VP Bi. Samia Suluhu anatafuta suluhu baada ya kazi nzuri ya NEC.

Kwa intelijensia waliyonayo amani ya nchi iko mashakani kwa hiyo yuko bizee na kuiombea nchi na wadanganyika dua ili nchi iendelee na amani na utulivu.

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA DUA YA KUOMBEA TAIFA AMANI, JIJINI DAR | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
 
Back
Top Bottom