Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Hivi huyo bibi huwa anaongea kweli?
Mi napenda tu anavyorembua yale macho yake.
Hivi huyo bibi huwa anaongea kweli?
Mwache apumzike ..kampeni zimemchosha.
Under Magufuli kuna job description?
Kwani kazi za makamu wa Rais unazijua?
Kwani kazi za makamu wa Rais unazijua?
Under Magufuli kuna job description?
heeheeee markiiiiitiWanawake wa kizanzibari hawana tabia ya kukimbia kimbia huku na huko maana hawajalelewa hivyo. Kwa wao kila kitu kinafanywa na mwanaume mpaka kununua samaki marikiti.
Ndio, kukata utepe!
Kukata tepe na mkasi
Utamwona akienda kukata utepe
Mi napenda tu anavyorembua yale macho yake.
Hata angekuwa hana hekima kabisa, let say zero capacity of wiseness....kwa haya aliyoyafanya siku hizi tatu tu...naomba aendelee kuikosa hiyo hekima. Hiyo hekima ndio imetufikisha hapa. Sasa ni mwendo wa tingatinga tu.
Bosi wake Ndugu Magufuli anapiga kazi kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saaa 4 usiku. Monday to Monday. Na impact yake ishaanza kuonekana
sasa kimya cha makamo wa Rais bi Samia Suluhu kinaashiria nini? Ina maana kashaanza kum sabotage bosi wake au ndio insubordination au ndio yeye hajali kabisaa na haa matatizoyetu hayajali?
Kwa kuwa serikali yetu inafanyakazi kwa style ya MANAGEMENT BY WANDERING AROUND (MBWA), iweje huyu mama ashindwee kwenda TRA, TRC, TPA na kutuambia ofisi yake inafanya nini kumsaidia Ndugu Magufuli?
Kama ataendelea kukaa kimya bora aondoke ili tuletewe mwingine mchapakazi (kwa zanzibar sina hakika kama wapo wanawake ambao wanapiga au wanaweza kwenda na spidi ya ndugu magufuli) , Kama wapo nashauri magufuli awe na list yake stand by. HUyu Suluhu sioni tofauti yake na saada mkuya
Hivi huyo bibi huwa anaongea kweli?
Pamoja na kuwa mimi ni ukawa, lakini mama Samia ana hekima kwa asilimia sabini, ni vigumu kufanya kazi na Pombe mwenye hekima asilimia kumi na moja tu. Vurugu tupu. Muda si mrefu Pombe ataamuru jengo la Tanesco pale Ubungo livunjwe.
Kwani kazi za makamu wa Rais unazijua?