kimini cha mponza...

kama dakika 20 hv zimepita hapa moshi stendi demu 1 kachaniwa nguo zake live hpa stend sababu nguo hiyo ilikuwa fupi saaana so watu wakaamua kuchukua sheria mkononi...dah ni noma demu hafai yani, ila thanks kwa polisi waliomsaidia kumpakiza kwenye gari ila ilikuwa too late...ma sista du wa dar karibuni moshi...picha badae kidogo ntawaletea
mkuu hapo kwenye red haujafika huo muda?
 
Watanzania bado sisi ni mbumbumbu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,..tunashindwa kufanya mambo ya muhimu tunabakia kuwadhalilisha dada zetu . hao wote waliofanya huo ujinga ni kupiga ndani jela mahabusu wakanyee debe ...
Sema ww ndo mbumbumbu!!!! si alikuwa anakaribia kuonyesha watu sehem zake nyeti?? acha wamsaidie zibaki wazi kabisa ili watu tujue moja kuwa amedhamiria!!! kuliko kuacha nusunusu!!!! safi sana hio!!!
 
Huo ni ukiukwaji mkubwa wa khaki za binadamu, kama yeye amevaa kimini wengine inawahusu nini? Na ukifanya utafiti utagundua kuwa wale wanaowazomea ama kuwachania nguo ni wazinzi wakubwa.

hii kitu inaitwa HAKI ZA BINADAMU hii inawafanya hata kamerun mumuone muungwana.
 
Yeye anavyoonyesha vinyama vyake wewe inakuhusu nini ? na je kumvua nguo ndio kuficha vinyama vyake visionekane, Haya mambo ya kuingilia maisha ya watu ni ufinyu wa fikra

basi tumwambie kamerun aje c uhuru wa watu usiingiliwe.
 
basi tumwambie kamerun aje c uhuru wa watu usiingiliwe.
Mkuu nashindwa kuelewa uhusiano baina ya David Cameron na mtu kuzalilishwa kwa kuvuliwa nguo. Tuache kupenda kulazimisha hisia zetu kwenye maisha ya watu, kama vile yeye alivyokosea kutaka ku-dictate sisi tufanye nini, ndivyo hivyo hivyo hao watu wamekosea kwa kutaka kudictate watu wavae nini (tena wanavuka hatua ya kutoa hata kile kidogo alichojisetiri kwa kumuacha uchi..)

You can put a dress code kwenye private places kama maofisi au sehemu tofauti ila mitaani tukianza kudictate mavazi, nadhani tutajikuta tunawapa wahuni upenyo wa kufanya fujo, na kuwa-abuse kina dada, wake na ndugu zetu.
 
Yeye anavyoonyesha vinyama vyake wewe inakuhusu nini ? na je kumvua nguo ndio kuficha vinyama vyake visionekane, Haya mambo ya kuingilia maisha ya watu ni ufinyu wa fikra

Inatisha kuona kuna watu wanaona alichotendewa huyo dada ni sawa na alistahili. Ipo siku wanawake watabakwa hadharani na jamii ikaona tendo kama hilo ni sawa kwa vile hao wanawake wamejitakia.
 
Watanzania sisi si wazima. Watu 800 kushughulika na mtu aliyevaa kimini na wala mshipa hautudundi tukizimiwa umeme na kukosa huduma hospitali

Watu waachwe wavae watakavyo, hatupo Afghanistan hapa....allaaa
 
Ujinga mtupu! Umati wote huo mlikosa cha kufanya mpaka mkatekwa akili na mtu mmoja, mijitu mizima na akili zenu kushangilia ***** kama huo.......mlifaidika nini labda??
 
Kweli huo ni uonevu.Hapo polisi nao hawajui majukumu yao

Wao wanajua kuwatimua raia kwenye ardhi yao ili wapate ujiko kwa wawekezaji.....again wanajua kutawanya watu kwenye maandamo ya kweli na haki ila hawako tayari kuwashughulikia waharifu dhidi ya raia wenzao......WANAUDHI SAANA!!
 
Ukosefu wa kazi na pia kupenda ku mind biashara za watu wengine. Sisi Watanzania watu wa ajabu sana. Huku tunapenda na kukumbatia mambo ya western world huku tunajidai kupinga uvaaji. Ndio mambo ya utandawazi haya, the two are inseparable na sijui mtachana vimini vingapi maana this is just the beginning.
 
Mbali ya Shule na baadhi ya maofisi/taasisi,sijawahi kusikia popote kama katika nchi yetu kuna Dressing code,na kama ipo basi naomba nieleweshwe inasemaje katika swala la uvaaji.Walichokifanya hao wahuni wa moshi ilikuwa ni kutengeneza sababu tu wapate mkusanyiko wa watu ili waweze kuwaibia vizuri,kwani nani asiyejua jinsi Moshi ilivyojaa vibaka.Kisheria huyo binti kama angeweza kuwakariri sura hata wawili tu angewafunga miaka 30 jela kwa sheria mpya ya ubakaji.Kimini ni chake kinawahusu nini hao wahuni?Kama wangekuwa wanafuatilia hayo maadili na wanasikia kinyaa kuona vitu hivyo si wangewashambulia wehu waliojazana mjini hapo wakitembea utupu kabisa.
 
Mbali ya Shule na baadhi ya maofisi/taasisi,sijawahi kusikia popote kama katika nchi yetu kuna Dressing code,na kama ipo basi naomba nieleweshwe inasemaje katika swala la uvaaji.Walichokifanya hao wahuni wa moshi ilikuwa ni kutengeneza sababu tu wapate mkusanyiko wa watu ili waweze kuwaibia vizuri,kwani nani asiyejua jinsi Moshi ilivyojaa vibaka.Kisheria huyo binti kama angeweza kuwakariri sura hata wawili tu angewafunga miaka 30 jela kwa sheria mpya ya ubakaji.Kimini ni chake kinawahusu nini hao wahuni?Kama wangekuwa wanafuatilia hayo maadili na wanasikia kinyaa kuona vitu hivyo si wangewashambulia wehu waliojazana mjini hapo wakitembea utupu kabisa.

Tanzania hakuna sheria na ndiyo maana unaona watu wanakuwa na jeuri ya kuwakiuka wenzao with impunity.

Tanzania tunaua watu mchana kweupe tena hadharani kabisa sembuse kumghasi na kumkiuka mdada aliyevaa kimini? Ila tatizo kubwa ni kwamba jamii inakubaliana na huo ujinga.

Usikute kabisa kati ya waliokuwemo wakimzonga huyo dada robo nzima walikuwa wanawake wenzie. So go figure...
 
Ukosefu wa kazi na pia kupenda ku mind biashara za watu wengine. Sisi Watanzania watu wa ajabu sana. Huku tunapenda na kukumbatia mambo ya western world huku tunajidai kupinga uvaaji. Ndio mambo ya utandawazi haya, the two are inseparable na sijui mtachana vimini vingapi maana this is just the beginning.

Hawa vibaka wa mijini tukiendelea kuwachekea chekea zitakuwa ndo kazi zao hizo na kukwapua kwa sana miongoni mwa watu watakaokuwa wamejazana kushangaa shangaa tukio!!
 
Ukosefu wa kazi na pia kupenda ku mind biashara za watu wengine. Sisi Watanzania watu wa ajabu sana. Huku tunapenda na kukumbatia mambo ya western world huku tunajidai kupinga uvaaji. Ndio mambo ya utandawazi haya, the two are inseparable na sijui mtachana vimini vingapi maana this is just the beginning.

Hawa vibaka wa mijini tukiendelea kuwachekea chekea zitakuwa ndo kazi zao hizo na kukwapua kwa sana miongoni mwa watu watakaokuwa wamejazana kushangaa shangaa tukio!!
 
Watanzania bado sisi ni mbumbumbu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,..tunashindwa kufanya mambo ya muhimu tunabakia kuwadhalilisha dada zetu . hao wote waliofanya huo ujinga ni kupiga ndani jela mahabusu wakanyee debe ...
Hamna mtu aliyedhalilishwa hapo. Kama ni kweli huyo dada alivaa kimini, wacha wamchanie bana, maana kama unataka kufanya kitu fanya hicho kitu kikamilifu. Sasa wewe unataka watu waone uchi halafu unaonesha nusunusu matokeo yake ndiyo hayo watu wanakusaidia kufikia malengo...upo hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom