walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,520
Afadhali si unaona kwa sasa moyo mweupeeeeee maisha yanasongaEee mkuu nkaona nikikaanalo litanipasukia bure hahahah
am better here
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali si unaona kwa sasa moyo mweupeeeeee maisha yanasongaEee mkuu nkaona nikikaanalo litanipasukia bure hahahah
am better here
Yaaan watu wanakusema kichini chini hahahah Dada kalimwaga Leo.....Dah we acha tu ndugu yangu usiombe uwe kwenye nyumba za kupanga alafu huna mtoto sasa cjui utasingizia nn
Sent using Jamii Forums mobile app
asubuhi ulivyoona kakojoa ungempa azabu yakukugegeda mpaka atoe povuMkuu papuchi lazima ale sasa baada ya gem mshikaji kazima kalala fofofoo kalegeza pumbu zake kanachia kojo lake shwaaaaa afu ana singizia ndoto jaman jaman....
Hahahaha,,, usiombe ukutwe na hii alafu upo ugenini au lodge utaomba ujihimu kuamka na motooo speed 800Hahaha jaman naona mwanaume alikuwa anaota anakojoa mkojo wa kikubwa kapitiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Eee kwakweli mkuu yaaan hahahah watu wanasema ukiona choo kwenye ndoto usiingie ni mtego naona mwenzangu akakimbilia kabsaHahaha jaman naona mwanaume alikuwa anaota anakojoa mkojo wa kikubwa kapitiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha,,, watu wanasema usiombe ukutwe na bwana pepsiYaaan watu wanakusema kichini chini hahahah Dada kalimwaga Leo.....
am better here
Kama vp unatumia pasi tu kukausha kwa shida ipo wapiYaaan na ivi Leo jua halijatoka basi shughuri ndo inapoanza....
am better here
Eee kwakweli mkuu yaaan hahahah watu wanasema ukiona choo kwenye ndoto usiingie ni mtego naona mwenzangu akakimbilia kabsa
am better here
Eee kwakweli mkuu yaaan hahahah watu wanasema ukiona choo kwenye ndoto usiingie ni mtego naona mwenzangu akakimbilia kabsa
am better here
Hapo ndipo wanawake mnapokuja kuishia hamuolewi maana kitu kidogo tuu makelele kibaoWakuu kwema....
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu jf....
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi ...
Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote.cku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni uck wa Jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi ivi nkajua labda mwana joto usiku kasweat...nkalala pembeni asubh naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri Leo asubh...khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nkwambie...ananambia am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani ...anyway me nkazuga pale kama cjamaind vile nkajikausha tu ila moyoni kuna fulukuta kama fukuto hahahah dah yan nkaishiwa pozi nkabaki nine nyong'onyea tu ctaki hata anisogelee ...namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nkabaki namwangalia tu ....ila aisee kanialibia mood ya cku kabsa maana kutoa godoro nje aibu apa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket anyway nmekuja kutolea nyongo zangu uku ....ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo cjambo khaaa...
am better here
Mkuu y so serious nashukuru kwa mchango wako....Hapo ndipo wanawake mnapokuja kuishia hamuolewi maana kitu kidogo tuu makelele kibao
1. Maisha ni kuvumilia na kama ilivyo muungano wa aina yoyote kwenye ndoa ama mapenzi lazima ukubali kupoteza kiasi na kupokea kiasi
2.Hakuna aliye mkamilifu tofauti na Mungu tunatofautiana tuu aina ya mapungufu na sehemu yalipo kuna walionayo yanayoonekana wazi na wengine wanayo yamejificha.
3. Ukiona wanandoa wanaishi pamoja basi kumbuka wamevumiliana madhaifu yao na kwa umoja wao wameyafunika yasionekane na mtu wa nje na wameiacha tuu furaha ionekane imewaenea
4.Kama kweli huyo mtu ni mgonjwa na ugonjwa huo hauwezi kutibika sasa itasaidia nini kuchukua tarumbeta kwa mtu aliyekuamini na kukuvulia nguo maana yake aliamini siri yoyote atakayoiona kwako angeimeza kifuani na siri yoyote ambayo ungeiona kwake ungemeza kifuani na huo ndio utu uzima na ndio ubinadamu?
5. Laana za kumkosoa Mungu kupitia viumbe vyake , huwarudi wakosoaji hao kama amemkwepa kwa kebehe mwisho wa siku anakuja kuangukia kwa mwenye mapungufu makubwa zaidi ama mtoto wake anakuja kuzaliwa na mapungufu ya namna mbaya zaidi.
poleWakuu kwema.
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu JF.
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi.
Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote. Siku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni usiku wa jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu, sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi hivi nikajua labda mwana joto usiku kasweat, nikalala pembeni asubuhi naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri leo asubuhi, khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nikwambie.
Ananambia I am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani, anyway me nikazuga pale kama sija-mind vile nikajikausha tu ila moyoni kuna furukuta kama fukuto. Hahahah, dah! yani nikaishiwa pozi nikabaki nime nyong'onyea tu sitaki hata anisogelee.
Namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nikabaki namwangalia tu. Ila aisee kaniaribia mood ya siku kabisa, maana kutoa godoro nje aibu, hapa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket.
Anyway nimekuja kutolea nyongo zangu huku ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo sijambo, khaaa!
I am better here