Kimeo

Mkuu papuchi lazima ale sasa baada ya gem mshikaji kazima kalala fofofoo kalegeza pumbu zake kanachia kojo lake shwaaaaa afu ana singizia ndoto jaman jaman....
asubuhi ulivyoona kakojoa ungempa azabu yakukugegeda mpaka atoe povu
 
Wakuu kwema....
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu jf....
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi ...

Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote.cku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni uck wa Jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi ivi nkajua labda mwana joto usiku kasweat...nkalala pembeni asubh naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri Leo asubh...khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nkwambie...ananambia am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani ...anyway me nkazuga pale kama cjamaind vile nkajikausha tu ila moyoni kuna fulukuta kama fukuto hahahah dah yan nkaishiwa pozi nkabaki nine nyong'onyea tu ctaki hata anisogelee ...namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nkabaki namwangalia tu ....ila aisee kanialibia mood ya cku kabsa maana kutoa godoro nje aibu apa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket anyway nmekuja kutolea nyongo zangu uku ....ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo cjambo khaaa...

am better here
Hapo ndipo wanawake mnapokuja kuishia hamuolewi maana kitu kidogo tuu makelele kibao

1. Maisha ni kuvumilia na kama ilivyo muungano wa aina yoyote kwenye ndoa ama mapenzi lazima ukubali kupoteza kiasi na kupokea kiasi

2.Hakuna aliye mkamilifu tofauti na Mungu tunatofautiana tuu aina ya mapungufu na sehemu yalipo kuna walionayo yanayoonekana wazi na wengine wanayo yamejificha.

3. Ukiona wanandoa wanaishi pamoja basi kumbuka wamevumiliana madhaifu yao na kwa umoja wao wameyafunika yasionekane na mtu wa nje na wameiacha tuu furaha ionekane imewaenea

4.Kama kweli huyo mtu ni mgonjwa na ugonjwa huo hauwezi kutibika sasa itasaidia nini kuchukua tarumbeta kwa mtu aliyekuamini na kukuvulia nguo maana yake aliamini siri yoyote atakayoiona kwako angeimeza kifuani na siri yoyote ambayo ungeiona kwake ungemeza kifuani na huo ndio utu uzima na ndio ubinadamu?

5. Laana za kumkosoa Mungu kupitia viumbe vyake , huwarudi wakosoaji hao kama amemkwepa kwa kebehe mwisho wa siku anakuja kuangukia kwa mwenye mapungufu makubwa zaidi ama mtoto wake anakuja kuzaliwa na mapungufu ya namna mbaya zaidi.Maana tugekuwa na option ya tuzaliwe vipoi kila mtu angejichagulia aina ya nywele , kope , ngozi na kila kitu anachokiona kinamfurahisha lakini hii ni siri ya Mungu
 
Hapo ndipo wanawake mnapokuja kuishia hamuolewi maana kitu kidogo tuu makelele kibao

1. Maisha ni kuvumilia na kama ilivyo muungano wa aina yoyote kwenye ndoa ama mapenzi lazima ukubali kupoteza kiasi na kupokea kiasi

2.Hakuna aliye mkamilifu tofauti na Mungu tunatofautiana tuu aina ya mapungufu na sehemu yalipo kuna walionayo yanayoonekana wazi na wengine wanayo yamejificha.

3. Ukiona wanandoa wanaishi pamoja basi kumbuka wamevumiliana madhaifu yao na kwa umoja wao wameyafunika yasionekane na mtu wa nje na wameiacha tuu furaha ionekane imewaenea

4.Kama kweli huyo mtu ni mgonjwa na ugonjwa huo hauwezi kutibika sasa itasaidia nini kuchukua tarumbeta kwa mtu aliyekuamini na kukuvulia nguo maana yake aliamini siri yoyote atakayoiona kwako angeimeza kifuani na siri yoyote ambayo ungeiona kwake ungemeza kifuani na huo ndio utu uzima na ndio ubinadamu?

5. Laana za kumkosoa Mungu kupitia viumbe vyake , huwarudi wakosoaji hao kama amemkwepa kwa kebehe mwisho wa siku anakuja kuangukia kwa mwenye mapungufu makubwa zaidi ama mtoto wake anakuja kuzaliwa na mapungufu ya namna mbaya zaidi.
Mkuu y so serious nashukuru kwa mchango wako....

am better here
 
Kuna dada moja aliwakupiga kojo kitandani alafu tuko ugenini. Asubuhi namwamsha afue mashuka kabla wenyewe hawajaamka akataka kuwa mbish. Baadae alifua tukageuza godoro.

Wakati anafua mwenyeji akauliza mbona hivyo. "Mimi nikawahi kusema kuwa nikilala kwa watu huwa nahakikisha naacha katika hali ya usafi sitaki kuwapa walinzi wa nyumba kazi ya kufua mashuka".

Toka siku hiyo sikutaka kumuona huyo mdada

God save us
 
Wakuu kwema.

Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu JF.

Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi.

Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote. Siku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni usiku wa jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu, sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi hivi nikajua labda mwana joto usiku kasweat, nikalala pembeni asubuhi naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri leo asubuhi, khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nikwambie.

Ananambia I am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani, anyway me nikazuga pale kama sija-mind vile nikajikausha tu ila moyoni kuna furukuta kama fukuto. Hahahah, dah! yani nikaishiwa pozi nikabaki nime nyong'onyea tu sitaki hata anisogelee.

Namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nikabaki namwangalia tu. Ila aisee kaniaribia mood ya siku kabisa, maana kutoa godoro nje aibu, hapa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket.

Anyway nimekuja kutolea nyongo zangu huku ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo sijambo, khaaa!

I am better here
pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom