Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
You are better there!
Jaman namkana Mimi cmjui uyo mtu afe na aibu zake alizo niachia zinanitosha....Hahahaha,,, sio tu umtumie 50,000 utashangaa wadau wameshatupia picha JF au Instagram wameshamuanzishiia uzi baby wako hahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitajirudia tena mkuu, nikuambie kitu?Ukikojoa tena nakufinya kwenye pumbu izo....huenda ndo zinakutia uvivu kuamka unaziona nzito labda
am better here
Mkuu pole sana naona umekutana na kimeo kuanzia pochi adi kukuachia kojo plus 2000 ya sabuni duh kweli vyuma hatar vimekaza hatar hatar lolYe mwenyewe choka mbaya tu mkuu namwonea adi huruma hahah nimemwacha aende tu
am better here
Hahahah anajibalaguza ooooh am sorry nilipitiwa uku anatoa mashuka....Umefanya nimukumbuke Zey to ze b Mwanadada gaidi.
Zey B anasema.
Dume zima kikojozi,
Ukiulizwa oohh nilipitiwa na Njozi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha,,, unanikumbusha mbali sana kuna jamaa alioa mmama anakojoa kitandani kwani ndoa ilikuwepo tena ilivunjika fastaJaman namkana Mimi cmjui uyo mtu afe na aibu zake alizo niachia zinanitosha....
am better here
Mkuu pole sana naona umekutana na kimeo kuanzia pochi adi kukuachia kojo plus 2000 ya sabuni duh kweli vyuma hatar vimekaza hatar hatar lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana yeye badala ya kukojolea papuchi anakojolea godoro tena mkojo wala sii wazungu. Duh kwl umekutana na kimeo.pole yako.. Njoo kwa mm.Wakuu kwema....
Kama kawa nimekuja kuondoa stress zangu jf....
Juzi katika harakati za maisha nkapata mwanaume classmate sasa tukaamua kulianzisha gurudumu la mapenzi ...
Kaka ni mjanja hatari swaga kama zote.cku ya kwanza imeenda fresh tu siku ya pili ambayo ni uck wa Jana kuamkia Leo tumelala vizuri tu sasa kila nkijosogeza naona kama kuna ubichi ivi nkajua labda mwana joto usiku kasweat...nkalala pembeni asubh naamka najikuta nimeloa namwamsha mwenzangu maana alikua anasafiri Leo asubh...khaa ananambia we need to talk kuna kitu nataka nkwambie...ananambia am sorry nilipitiwa nkakojoa kitandani ...anyway me nkazuga pale kama cjamaind vile nkajikausha tu ila moyoni kuna fulukuta kama fukuto hahahah dah yan nkaishiwa pozi nkabaki nine nyong'onyea tu ctaki hata anisogelee ...namcheck tu anavo toa mashuka yaaan nkabaki namwangalia tu ....ila aisee kanialibia mood ya cku kabsa maana kutoa godoro nje aibu apa kanachia 2000 ya sabuni nifue mashuka na blanket anyway nmekuja kutolea nyongo zangu uku ....ila mie nae kwa kuokota wanaume vimeo cjambo khaaa...
am better here
You were suppose to treat him like your babyMkuu nimewahi kabsa yan
am better here
Mkuu dah chekaga tu mwaya maana ni hatari
am better here
Hahahahaha,,, unanikumbusha mbali sana kuna jamaa alioa mmama anakojoa kitandani kwani ndoa ilikuwepo tena ilivunjika fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali aisee JF ni moja ya tiba mbadala mana ukiwa na stress unashangaa zote zinaishaYaaan nkaona nije nilimwage jf naweza pata nafuu kidogo
am better here
Kama hautunyweshi chai, rudisha vikosi nyuma dada yangu .Juzi tu apo mkuu co ata xmass....mwanaume katili yule ata jambazi ana huruma...mfyuuu zake
am better here
Afadhali aisee JF ni moja ya tiba mbadala mana ukiwa na stress unashangaa zote zinaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we acha tu ndugu yangu usiombe uwe kwenye nyumba za kupanga alafu huna mtoto sasa cjui utasingizia nnKuanika godoro kila siku si mchezo shekh wangu yataka moyo....
am better here
du aibu nimeona mimiWw mwenyewe kimeo ndo maana unakutana na vimeo wenzio