View attachment 61696
Hivi huwa anaenda kuomba omba au kupiga picha na mastaa wa huko naomba kuwekwa sawa hapa.. Pata picha za matukio mbalimbali ya Kikwete akiwa majuu
Afadhali JK anaomba kwa maslahi ya Taifa , zile pesa wanazochangisha CDM wakiwa wavekwiva kwenye suti kwenye mahoteli makubwa hapa nchini kusafisha fedha haramu wanazoletewa na wazungu hao hao zinafanya nini?
Mwita Maranya, nakushauri uweke hii update kwenye main stori (thread yenyewe)UPDATES:
Nimezungumza na kamanda Heche muda mfupi uliopita, amenifahamisha kwamba amepigiwa simu na kaimu kamanda wa polisi kanda maalum ya Tarime Rorya ili afike kituoni kwa mahojiano.
Sasahivi ndio anaelekea kituo cha polisi Tarime mjini kwa ajili ya mahojiano hayo.
Taarifa za ndani kabisa toka polisi Tarime ni kwamba kuna shinikizo/maelekezo toka juu kwamba Heche akamatwe ama akijisalimisha azuiliwe mahabusu ya polisi hadi kesho atakapopandishwa kizimbani.
Nadhani wale mliopo Tarime mnaweza kufuatilia kwa karibu na kutujuza kinachojiri huko.
"Nisipoenda kuhemea watanzania mtakufa na njaa!" - J. M. Kikwete (Tabora 2010)
Kwenye red: Tafsiri yake ni kwambwa serikali ya CCM imeshindwa kudhibiti uingizaji wa fedha haramu! Na hapo bado kuna mihela huko Swiss! Kwa mtindo huo CCM inakosa uhalali wa kusimamia vyombo vya dola because they (CCM) are simply out of order!
Afadhali JK anaomba kwa maslahi ya Taifa , zile pesa wanazochangisha CDM wakiwa wavekwiva kwenye suti kwenye mahoteli makubwa hapa nchini kusafisha fedha haramu wanazoletewa na wazungu hao hao zinafanya nini?
Kwani lipi la Uongo hapo?
Nchi ambayo kila siku inaomba misaada tu wanataka iitweje?
Nchi ambayo ndege inatua na kubeba Twiga na Tembo wanataka iitweje?
Nchi ambayo Ndege inatua na kubeba madini bila kuhakikiwa Wanataka iitweje?
Rais anayeenda kuomba omba Misaada kila kukicha mnataka aitweje?
Afadhali JK anaomba kwa maslahi ya Taifa , zile pesa wanazochangisha CDM wakiwa wavekwiva kwenye suti kwenye mahoteli makubwa hapa nchini kusafisha fedha haramu wanazoletewa na wazungu hao hao zinafanya nini?
Afadhali JK anaomba kwa maslahi ya Taifa , zile pesa wanazochangisha CDM wakiwa wavekwiva kwenye suti kwenye mahoteli makubwa hapa nchini kusafisha fedha haramu wanazoletewa na wazungu hao hao zinafanya nini?
Kwa nini amejificha?
very cheap indeed!Kumbe na wewe ni 'NAPE'?
U ar too cheap yan siwezi kukujibu...
Kwa maslahi yapi uliyoyaona kwa awamu hii ya kikwete...unajua deni la taifa kwa sasa ni kiasi gani? unakumbuka wakati anaachiwa nchi hazina kulikuwa na kiasi gani? je deni likuwa kiasi gani?...vipi bei ya vyakula nikupe mfano kikwete anachukua nchi bei ya mchele ilikuwa TZS 650 sasa hivi mpaka TZS 3000, kiberiti 25 sasa hivi 100...ngoja nikomee hapo
wametokelezea kinowmer.
naunga mkono hoja mia kwa mia!Kwani kamkashifu au kasema ukweli?kweli anaenaenda kuleta neti wenzake wanabeba madini.hilo jeshi la nyinyiemu police wanaendelea na kazi za kutengeneza movie zao.