rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,189
- 20,156
Ila sikufuraishwa na kauli yake kuwa atagombea ubunge iwapo chama kitamruhusu haya ndio mambo yaliyofanya tumshukie zitto alipotangaza nia yake ya kugombea urais sasa hivi ni wakati wa kupiga kazi ya kueneza sera na mtandao wa chama ili ikifika 2015 mgombea yoyote atakayeteuliwa awe na uhakika wa kupita lakini mkianza sasa hivi kuna Mwita aliyegombea uchaguzi uliopita naye ataanza kampeni hivyo badala ya kujenga chama mtajenga makundi ambayo hayana faida kwa chama kumbuka Tarime ilikuwa ngome ya cdm ila kutokana na kuhitilifiana jimbo lilienda kwa CCM naomba msirudie tena yale makosa mnaweza kumlaumu mwenyekiti wa CDM wilaya anatumiwa na CCM ila ukifatilia utakuta ni siasa za ndani za CDM