Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

Hawa watu waache mikwara uchwara, kila kitu kulialia tu
 
Waondoke tu, hatuhitaj wanyonyaji. Waende uingereza au USA wakawekeze tuone kama hawatatozwa kodi
Mjinga hufurahia ila Mwerevu huwaita na kukaa nao chini... Da bad ting awa presida is not shauriable person... Kizungumkuti
 
Tunatakiwa tufanye kazi na biashara na watu makini waikwepa kodi. Kama kweli walikuwa wanaonewa kwanini hawajenda kulalamika kwenye mamlaka zinaohusika na masuala ya biashara au hata kwenye kituo cha uwekezaji...!?
 
vat iliyoongezwa hapo inasababisha wao kushindwa kwenye soko na washindani wao kwani washindani wao hawalip io kodi hivyo inapelekea bidhaa zao kuwa bei juu kuliko wengine .tuache miemuko jamani mnashangaa kutengeneza chakula cha kuku mbona MO anatengeneza mafuta ya kupikia wakati alizet tunazo na mashine zipe kila kona na mnanunua ? Tatizo ni ubora wa bidhaa sio kila mtu anaweza kuwekeza
 
Dah.... Na waende tu..tena wafanye haraka..wakatafute sehemu watakayokwepa kodi... Mungu mbariki Dr. JPM
 
Mkuu,
Nchi zilizoendelea hazina kodi nyingi kwa makampuni. Zina kodi kwa mtu mmoja mmoja.

Kampuni ukililipisha kodi kubwa, linahamia nchi nyingine.
Nimekaa Ulaya, kodi huko ni kiboka na hakuna ukwepaji maana its a controlled economy.
Sweden VAT ni 25%
Income Tax 0% kwa wasiojiweza/masikini , lakini mishahara ya kawaida from 31%-56% ya mshahara
Kama unatoa zawadi kuna Gift Tax
Kama una property vile vile ipo Property Tax, na kama una state kuna Estate Tax
Kama mtu tajiri amekufa na kurithisha mali yake kwa mtoto kuna Inheritance Tax
 
Hizi habari ndio huwa Furaha kwa majizi Chadema..

Kwa taarifa yenu hata abaki muwekezaji mmoja nchi nzima lazima alipe kodi

Wamekuibia kitu gani hao Chadema !!?..Au umevimbiwa maharage...?
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Hapa kazi tu! Na waondoke haraka iwezekanavyo....tutalishia majani. Hata ndege ya rais iliponunuliwa watanzania tulikula majani na hakuna kilichoharibika.....bado CCM imeendelea kutawala....CCM oyeeee!!!!
 
Nimekaa Ulaya, kodi huko ni kiboka na hakuna ukwepaji maana its a controlled economy.
Sweden VAT ni 25%
Income Tax 0% kwa wasiojiweza/masikini , lakini mishahara ya kawaida from 31%-56% ya mshahara
Kama unatoa zawadi kuna Gift Tax
Kama una property vile vile ipo Property Tax, na kama una state kuna Estate Tax
Kama mtu tajiri amekufa na kurithisha mali yake kwa mtoto kuna Inheritance Tax

Kodi kwa wenzetu zinaonekana kwa kuhakisi na Uchumi wao ,lakini huku kwetu zinaishia kwa baadhi ya Mafisadi..Wanaogopwa sana hawa watu hata kugusa hawaguswi mtapiga kelele weee na msione tofauti..
 
Naamini Kuna sababu nyingine nyuma Pazia kwa nn Wamefunga operations..VAT imeanza fanya kazi 1st July, Ni mwezi mmoja sasa kwa mfanyabiashara makin hawez funga operations kwa kushuka kwa uzalishaji ndani ya Mwezi mmoja.Afu VAT inalipwa na mtumiaji wa Mwisho..
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Mkuu huo ndio mwanzo wa kuondoka kwa wawekezaji wote na watalii, bandari na bado sehemu zingine wataondoka wote
 
Daaah unaweza kuwa na wazo zuri ila approach unayotumia ndo mtihani. Kodi ni nzuri ila approach inayotumika inaweza kuwa tatizo
Tusubiri wachimbaji wa madini waondoke muda siyo mrefu
 
Wadau, habari za majukumu! Baada serikali mpya kuingia waliingiza VAT kila sehemu hata kwa waliosamehewa kodi hiyo, nasemea upande wa watengenezaji chakula cha kuku! Kampuni ya thailand CPF wanafunga operation na kuondoka mwisho wa mwezi huu!! Nawasilisha
Wakwende, kwanza ma kuku yao vimeo
 
Back
Top Bottom