Wakuu wng naomba taarifa ya ardhi ya kilimo huko kilosa nataka nijitose mwaka huu ni sehemu gn,Pia wanakodisha kwa sh ngapi, Pia muda huu cjachelewa.?
 
Mr qualifier nataka kwenda kulima kilosa sema Cna mwenyeji mwenye naomba uniwezeshe nimpate mwenyeji Pia unipe no ya anaekodisha shamba nataka nifanye kweli
 
Huwezi kufanya investment kirahisi rahisi hivyo.Nenda mguu kwa mguu, fanya survey ya kutosha ili uwe well informed mwenyewe
 
Mkuu wng hongera na pole na majukumu ansante kwa kuwa kioo cha jamii hp jf Mimi nataka kulima vitunguu maeneo ya kilosa ila Cna mwenyeji km una taarifa zozote Za mashamba mazuri tujulishane nategemea kwenda jtano Pia ni Mara ya 1
 
Mkuu wng hongera na pole na majukumu ansante kwa kuwa kioo cha jamii hp jf Mimi nataka kulima vitunguu maeneo ya kilosa ila Cna mwenyeji km una taarifa zozote Za mashamba mazuri tujulishane nategemea kwenda jtano Pia ni Mara ya 1

Unataka kukodi Eka ngapi? unataka kulima Mwezi gani? una mtu wa uhakika wakukucmamia? au utakuwa Mwenyewe Shamba Full tym? Jibu kwanza then ntarudi...!
 
samahan wakuu minataka kujua tu soko lipoje hasa kwa kilo moja! najeee heka moja unaweza pata kilo ngapi kwa maximum ili tujikwamue nahaya maisha magumu
 
Sasa hivi naona wadau hawatokei humu jamvini. Naona wapo mashambani. Sasa hivi ndio nahamishia mbegu shambani. Ila hii kazi sio ya kitoto... Inahitaji usimamizi wa karibu sana.
 
Mkuu wng hongera na pole na majukumu ansante kwa kuwa kioo cha jamii hp jf Mimi nataka kulima vitunguu maeneo ya kilosa ila Cna mwenyeji km una taarifa zozote Za mashamba mazuri tujulishane nategemea kwenda jtano Pia ni Mara ya 1

Ninakupongeza kwa uamuzi niliwahi kulima kitunguu kilosa maeneo ya msowero na nilivuna gunia 92 kwenye eka moja, kwa sababu shamba lilikuwa lakwangu gharama za kukodi hazikuwepo kwa sasa ninaishi Ifakara baada ya kuhamishwa kikazi , kama unamean sereouse tuwasiliane nikutengee kiasi cha eka unazo hitaji, shamba lina nyumba utahifadhi zana na pembejeo na liko kando ya mto utafanya umwagiliaji bila shida ukubwa wa shamba ni 65 ecar utapewa sawa na mahitaji yako barabara ipo na ni 4hrs drive to Kariokoo
 
Ninakupongeza kwa uamuzi niliwahi kulima kitunguu kilosa maeneo ya msowero na nilivuna gunia 92 kwenye eka moja, kwa sababu shamba lilikuwa lakwangu gharama za kukodi hazikuwepo kwa sasa ninaishi Ifakara baada ya kuhamishwa kikazi , kama unamean sereouse tuwasiliane nikutengee kiasi cha eka unazo hitaji, shamba lina nyumba utahifadhi zana na pembejeo na liko kando ya mto utafanya umwagiliaji bila shida ukubwa wa shamba ni 65 ecar utapewa sawa na mahitaji yako barabara ipo na ni 4hrs drive to Kariokoo

Nitakutafuta mkuu
 
wakubwa naulizia mkoa wa mara vitunguu vinafaa wapi na soko lake lipoje kwa mwanza musoma shinyanga na upande wa kenya kwa sasa..mwenye taarifa naomba anijibu tafadhari..
 
Ninakupongeza kwa uamuzi niliwahi kulima kitunguu kilosa maeneo ya msowero na nilivuna gunia 92 kwenye eka moja, kwa sababu shamba lilikuwa lakwangu gharama za kukodi hazikuwepo kwa sasa ninaishi Ifakara baada ya kuhamishwa kikazi , kama unamean sereouse tuwasiliane nikutengee kiasi cha eka unazo hitaji, shamba lina nyumba utahifadhi zana na pembejeo na liko kando ya mto utafanya umwagiliaji bila shida ukubwa wa shamba ni 65 ecar utapewa sawa na mahitaji yako barabara ipo na ni 4hrs drive to Kariokoo

Mkuu post yako ni useful sana, unaweza kunipm namba yako nikupigie tuongee, au kama inawezekana nikupm namba yangu.
 
Mimi niko Tanga natarajia kuhamia Mbeya. Nataka kufanya kilimo cha vitinguu saumu. Naomba msaada kujua ni wakati gani mzuri wa kupanda hili zao. Shamba langu liko Itewe nitashukuru kwa michango yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom