rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Ukitumia mbegu nzuri vinauwezo wa kukaa mpaka mwezi wa nne. Inamaana ivo unavoviona miezi ya nne ni stock ya kuanzia mwezi wa 10 na 11. Kwahiyo siri kubwa ya ukaaji wa kitunguu store ni mbegu nzuri kwani kitunguu kinakua na layer nyingi hivo kuweza kustahimili muda wote huo.
Aisee! Kumbe! Jamaa mwezi wa nne wamelamba pesa nzuri sana Dar, 160,000/= Kwa gunia. Ukiwa na magunia 300 Kwa ekari 4 hapo unakuwa milionea ghafla.