kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Nahitaji tani 50 Mihogo mikavu.nanunua kwa 350tsh kilo
Habari wana janvi!!!!!
kwa yeyote anaefahamu upatikanaji wa mbegu bora za muhogo ambazo zilifanyiwa utafiti na kuthibitika kustaihimiri magonjwa mbalimbali na ukame, pia zenye kutoa mazao kwa wingi anakaribishwa.
Angalia hiyo kiwango nimetaja .tani 50.Duu yaani kilo tatu buku tena iliyoandaliwa na kukaushwa tayari? Haf mihogo ikikaushwa si inapungua uzito?Duu wachuuzi wa Kilimo cha Tz kweli nuksi!..
Ni bora kukaa kimyaa kuliko kujibu kebehi. Maandiko matakatifu yanasema hata mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa kuwa na hekima.Kawaulize wala mihogo sisi hatuli mihogo. We unauliza maswali ya mbegu umeambiwa JF kuna mla mihogo.
Songea RuvumaUpo wapi mkuu
Unalimia wapi..?mkulima wa mihogo nipo.hapa.
pwani mkuu.Unalimia wapi..?
Soko lako ni lipi mkuu?pwani mkuu.
Mkuu ahsante sana, unaweza kunisaidia kwa makadirio gharama za zote toka kuandaa heka moja ya mhogo hadi unapokuwa tayari kwa kuuzwa na pia yake ya soko ikoje. Ahsante sanaMBEGU NZURI NI KIROBA NA NALIENDELE HUZAA TANI 20 KWA HEKTA MOJA NA INAKOMAA BAADA YA MIEZI TISA
Mkuu mikoa yote ya Pwani muhogo unakubali vizuri tu ila kama utapenda kuwa mdau kwa eneo letu au ungependa kuzalisha ili tununue ningeshauri ili kupunguza ghrama za usafirishaji ni nzuri kama utaelekea barabara ya Kilwa maeneo ya kuanzia Mkuranga kuelekea njia ya Mtwara hadi karibu na Mbuga ya Selous maeneo yapo wazi sana mkuu na yanakubali muhogo ile mbaya. Tutahitaji muhogo uingie kwenye mashine kabla ya kuzidi umri wa siku 3 tangu kuvunwa ambayo najua hiyo ni feasible kabisa kwa sehemu kubwa ya Tanzania kufikisha kiwandani.
So Mlandizi pia sio mbali nimeongelea kupanua profit margin kwa kupunguza transportation costs tu hapo
Siyo vibaya kinalipa vizuri mnoomzee umechungulia deal nasikia kilimo cha mihogo kinalipa vibaya mno na soko lake ni kubwa pia.
Mfano mzuri ulio hai nenda pale mbezi stendi mwisho utakuta wamama kibao wanapigania ikija fuso ya mihogo nusu saa nyingi inakua imekwisha,na unakuta wengine wanasubiria mpaka saa tano ya usiku.
Ngoja wataalamu wenye uzoefu nayo watupe data.
Project iliishia wapi!update plzMkuu mikoa yote ya Pwani muhogo unakubali vizuri tu ila kama utapenda kuwa mdau kwa eneo letu au ungependa kuzalisha ili tununue ningeshauri ili kupunguza ghrama za usafirishaji ni nzuri kama utaelekea barabara ya Kilwa maeneo ya kuanzia Mkuranga kuelekea njia ya Mtwara hadi karibu na Mbuga ya Selous maeneo yapo wazi sana mkuu na yanakubali muhogo ile mbaya. Tutahitaji muhogo uingie kwenye mashine kabla ya kuzidi umri wa siku 3 tangu kuvunwa ambayo najua hiyo ni feasible kabisa kwa sehemu kubwa ya Tanzania kufikisha kiwandani.
So Mlandizi pia sio mbali nimeongelea kupanua profit margin kwa kupunguza transportation costs tu hapo