Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Nilikuwa nimebanwa sana. Nikitia timu safari hii nitakutafute tukutane LTH.
Pamoja mkuu. Barikiwe sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nimebanwa sana. Nikitia timu safari hii nitakutafute tukutane LTH.
Tuwe wakweli ndugu hayo mahesabu uliopiga hapo hayawezekani, mimi nina udhoefu na kilimo cha muhogo, isitoshe mimi mwenyewe nina shamba hukohuko Bungu.
Kusafisha shamba kwasasa ni 50,000 kwa heka, kumbuka shamba ppri lina hatua tatu za kusafisha 1. Kuvunja msitu, 2. Kukusanya mara ya kwanza, kukusanya mara ya pili baada ya kuchoma moto.
3.kungoa visiki alafu na kuchoma moto tena au kutolewa nje ya shamba, mwisho ndio kulima.
jambo jingine ni kuhusu mbegu ya muhogo kweli fungu ni 3000 lakini heka moja inaweza kuchukua mafungu hata zaidi ya kumi.
Ghalama nyingine za ziada ni kudhibiti panya na nguruwe huku swala hili limekuwa tatizo kubwa sana maana labda uweke wigo au mfanye ulinzi nyakati za usiku, fikiria muhogo unaotakiwa uwe mzito zaidi utakaa shambani kwa muda gani?.
Mwisho wa yote bei iliokuwa inatolewa hapa ni 50 -100 @ kilo na wanataka upeleke muhogo uliomenywa baganda na bado gharama ya kuusafirisha kupeleka kiwandani.
hapo sijataja gharama za palizi kwahuku palizi kwa msimu mmoja tunafanya hata mara nne kutokana na nyasi na rutuba ya udongo, bado gharama za watu watakaovuna pia.
But kila lakheri.
Yes inawezekana mkuu na tutafanya lakini sio kwa awamu hii. Hatuna kiasi cha kutosha cha fedha kwa hiyo tunataka watu watakaoweza kufanya sehemu kubwa ya shughuli kwa awamu hii.Kwa hiyo mkuu inawezekana mkamkodisha mtu vifaa (bulldozer) vya kusafishia shamba na tractor ya kulimia then mkamkata kwenye malipo? That's a kind of a soft loan kama ni hivyo huo mpango mtauanza sasa hivi au awamu nyingine? Nijibu tafadhali hii itasaidia sana interested wakulima hasa wadogo kumake decision kuanza na awamu ipi
mkuu Mzuzu
naomba kujua kuhusu output product yaani starch ya muhogo huu mnaotarajia ku-process . Je, wajasiriamali wadogo wadogo wanaweza kuitumiaje starch ya muhogo mtakaotengeneza kama raw material na kuweza kuprocess by products gani zitakazotumika locally ?
Mkuu Mzuzu, aksante sana kwa maelezo ambayo kimsingi yalikuwa ndiyo maswali yangu. Nimemaliza kupiga hesabu za magazijuto hapa na kugundua mkiunga nguvu watu kumi na kuchukuwa ekari 50, kwa gharama ulizotaja at most kila memba atachangia T shs. 1,750,000/= INAWEZEKANA.
Tatizo langu linabaki kwenye bei ya kununulia naona ipo chini au inajadilika?
Nakubaliana na wewe mkuu lakini estimates nilizotoa ni tulizotumia kufanya hii project na tume maximize km ukiangalia umeongelea shamba pori stage zote 3 za 50,000 sisi tumeweka mara 4 kucover zote. Then tunaplan kutumia buldozer ambalo hizo stages zitakuwa 1 na kusafisha ya pili.Tuwe wakweli ndugu hayo mahesabu uliopiga hapo hayawezekani, mimi nina uzoefu na kilimo cha muhogo, isitoshe mimi mwenyewe nina shamba hukohuko Bungu.
Kusafisha shamba kwasasa ni 50,000 kwa heka, kumbuka shamba opri lina hatua tatu za kusafisha
1. Kuvunja msitu,
2. Kukusanya mara ya kwanza, kukusanya mara ya pili baada ya kuchoma moto.
3. kungoa visiki alafu na kuchoma moto tena au kutolewa nje ya shamba, mwisho ndio kulima.
jambo jingine ni kuhusu mbegu ya muhogo kweli fungu ni 3000 lakini heka moja inaweza kuchukua mafungu hata zaidi ya kumi.
Gharama nyingine za ziada ni kudhibiti panya na nguruwe huku swala hili limekuwa tatizo kubwa sana maana labda uweke wigo au mfanye ulinzi nyakati za usiku, fikiria muhogo unaotakiwa uwe mzito zaidi utakaa shambani kwa muda gani?.
Mwisho wa yote bei iliokuwa inatolewa hapa ni 50 -100 @ kilo na wanataka upeleke muhogo uliomenywa maganda na bado gharama ya kuusafirisha kupeleka kiwandani.
hapo sijataja gharama za palizi kwahuku palizi kwa msimu mmoja tunafanya hata mara nne kutokana na nyasi na rutuba ya udongo, bado gharama za watu watakaovuna pia.
But kila lakheri.
Mkuu
Mzuzu,tunaomba ufafanuzi juu ya hili ili tuwe comfortable
Karibu mkuu hujachelewa bado.Mzuzu pole na kazi.Nimechelewa kuona mpango huu,je twaweza kurusha application yetu?
Karibu mkuu hujachelewa bado...
Wakuu nilipotea kitambo chimbo kukamilisha documentation za kazi hii zinazohusu mazingira na za kisheria na sasa tupo tayari kuanza rasmi mradi huu. Tunataka wakulima sasa kwa ajili ya kuwapa contracts kwa lengo la kulima muhogo kwa ajili ya kiwanda tuachokijenga kule Rufiji.
Kufikia Sept 2013 tutakuwa tayari kununua muhogo tani 60 kwa siku kwa hiyo anayeweza kufanya sasa hajachelewa sana na inawezekana pia kufanya umwagiliaji kwa kuchimba visima vichache. Muhogo hauhitaji maji mengi na ardhi ya Rufiji ina unyevu wa kutosha kilimo mwaka mzima. Kifupi ni kwamba wanalima muhogo mara mbili kwa mwaka.
Karibuni sana na ofisi yetu sasa ipo EPZ Mabibo external.
Wakuu nilipotea kitambo chimbo kukamilisha documentation za kazi hii zinazohusu mazingira na za kisheria na sasa tupo tayari kuanza rasmi mradi huu. Tunataka wakulima sasa kwa ajili ya kuwapa contracts kwa lengo la kulima muhogo kwa ajili ya kiwanda tuachokijenga kule Rufiji.
Kufikia Sept 2013 tutakuwa tayari kununua muhogo tani 60 kwa siku kwa hiyo anayeweza kufanya sasa hajachelewa sana na inawezekana pia kufanya umwagiliaji kwa kuchimba visima vichache. Muhogo hauhitaji maji mengi na ardhi ya Rufiji ina unyevu wa kutosha kilimo mwaka mzima. Kifupi ni kwamba wanalima muhogo mara mbili kwa mwaka.
Karibuni sana na ofisi yetu sasa ipo EPZ Mabibo external.
Mkuu maeneo haya ya mkuranga. Kilimo cha mihogo msimu mzuri wa kupanda ni miezi gani?Kididimo iko Mkuranga,mara baada ya kupita kijiji cha Mbezi njia ya kisiju kabla ya kufika Mpafu, panalimwa sana tikiti. Nikipata bei yake nitaiweka peupe mkuu. Maji ya kubangaiza yapo.
Ukanda wa pwani una nyani balaa,nguruwe pori ni wengi sana. Tusikate tamaa.
mkuu maeneo haya ya mkuranga..kilimo cha mihogo msimu mzuri wa kupanda ni miezi gani?
Hao nguruwe pori hawaliwi mkuu?Kididimo iko Mkuranga,mara baada ya kupita kijiji cha Mbezi njia ya kisiju kabla ya kufika Mpafu, panalimwa sana tikiti. Nikipata bei yake nitaiweka peupe mkuu. Maji ya kubangaiza yapo.
Ukanda wa pwani una nyani balaa,nguruwe pori ni wengi sana. Tusikate tamaa.