DR.POLITICS
Member
- Dec 16, 2015
- 69
- 41
Sawa mkuumaeneo ya kibaha maeneo unaweza pata kule kongowe, bei kuanzia 4m kwa hekari..
Maeneo ya mkuranga hata 700,000/= kwa heka unapata..
Usiogope machafuko mkuu, wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika..
Sawa mkuumaeneo ya kibaha maeneo unaweza pata kule kongowe, bei kuanzia 4m kwa hekari..
Maeneo ya mkuranga hata 700,000/= kwa heka unapata..
Usiogope machafuko mkuu, wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika..
Karibu sana morogoro, ninauza milioni moja kwa ekari. Zipo ekari tano. Ni wilaya ya mvomeroLa kuongezea, atakayeshauri pia akiweza aoneshe bei ya shamba kwa ekari na eneo lilipo
Vipi huko wakulima na wafugaji wamesha acha kuchinjana mkuu?Karibu sana morogoro, ninauza milioni moja kwa ekari. Zipo ekari tano. Ni wilaya ya mvomero
Kwann hamuwataji hao magaidi mkuu?Dr politics,
Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.
Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
Hii ishu ni tatanishi Sana mkuu. Vinara walishatajwa na polisi wakawaweka bayana na picha zao.Kwann hamuwataji hao magaidi mkuu?
Sawa mkuu, sasa hao magaidi wanamzuru mtu yeyote au wana watu wao wanao watageti?hii ishu ni tatanishi Sana mkuu. Vinara walishatajwa na polisi wakawaweka bayana na picha zao.
Ni jukumu la Vyombo vya usalama kufanyakazi kwa ueledi mkubwa kuendelea kuwabaini na kuwafanya nguvuni.
Wangekuwa wanaua hovyo hovyo huku kusingekuwa na raia hata mmoja mkuu. Target za hawa magaidi ni viongozi wa serikali na CCM.Sawa mkuu, sasa hao magaidi wanamzuru mtu yeyote au wana watu wao wanao watageti?
Wasije wakanikuta huko msituni napanda muhogo wangu wakanishughulikia aisee!
Mkuu bei yakukodi hapo kisarawe kwa heka ikoje?Njoo kisarawe mkuu ardhi nzuri na ni 50 km from k/koo na bei ni nafuu
Toa bei ya Shamba kununua kwa heka na kama mtu akikodi ni sh ngapi.Dr politics,
Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.
Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
Shamba jipwa au used?Laki Kwa msimu mmoja
Ok, vipi mbegu ya heka moja wanauzaje?Used and vigin land yote yanapatikana
400,000 kununua ekari moja. 50000 Kukodi Ekari mojaToa bei ya Shamba kununua kwa heka na kama mtu akikodi ni sh ngapi
Bei gani kwa ekari?Mwasonga kigamboni
Bei ya kukodi na kununua kwa ekari 1?Kisarawe maneno ya Kizinga mkuu.