Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Dr politics,

Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.

Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
 
Dr politics,

Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.

Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
Kwann hamuwataji hao magaidi mkuu?
 
Kwann hamuwataji hao magaidi mkuu?
Hii ishu ni tatanishi Sana mkuu. Vinara walishatajwa na polisi wakawaweka bayana na picha zao.

Ni jukumu la Vyombo vya usalama kufanyakazi kwa ueledi mkubwa kuendelea kuwabaini na kuwafanya nguvuni.
 
hii ishu ni tatanishi Sana mkuu. Vinara walishatajwa na polisi wakawaweka bayana na picha zao.
Ni jukumu la Vyombo vya usalama kufanyakazi kwa ueledi mkubwa kuendelea kuwabaini na kuwafanya nguvuni.
Sawa mkuu, sasa hao magaidi wanamzuru mtu yeyote au wana watu wao wanao watageti?

Wasije wakanikuta huko msituni napanda muhogo wangu wakanishughulikia aisee!
 
Sawa mkuu, sasa hao magaidi wanamzuru mtu yeyote au wana watu wao wanao watageti?

Wasije wakanikuta huko msituni napanda muhogo wangu wakanishughulikia aisee!
Wangekuwa wanaua hovyo hovyo huku kusingekuwa na raia hata mmoja mkuu. Target za hawa magaidi ni viongozi wa serikali na CCM.
 
Dr politics,

Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.

Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
Toa bei ya Shamba kununua kwa heka na kama mtu akikodi ni sh ngapi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom