ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
WAPI WANAUZA SHAMBA SH 400,000 KWA HEKA400,000 kununua ekari moja. 50000 Kukodi Ekari moja
WAPI WANAUZA SHAMBA SH 400,000 KWA HEKA400,000 kununua ekari moja. 50000 Kukodi Ekari moja
Kibiti unaweza ukapata.WAPI WANAUZA SHAMBA SH 400,000 KWA HEKA
Vipo kuhusu wanyama waharibifu..? Namaanisha ngedere, nyani, nguruwe nk.Kibiti unaweza ukapata.
Panafaa kwa mazao mbalimbali
Mharibifu mkubwa ni nguruwe, na sio kila sehemuVipo kuhusu wanyama waharibifu..? Namaanisha ngedere, nyani, nguruwe nk.
Ngurue ni changamoto sana maeneo hayo, sijui dawa yake ni ipi huyu kiumbe mzito?Mharibifu mkubwa ni nguruwe, na sio kila sehemu
Wangekuwa wanaua hovyo hovyo huku kusingekuwa na raia hata mmoja mkuu. Target za hawa magaidi ni viongozi wa serikali na CCM.
tupia picha mkuu nataka nihamie mkuranga mkuu angarau nipaone kwa picha piga sehem yoyote400,000 kununua ekari moja. 50000 Kukodi Ekari moja
Zitaje hapa sasa kuwa kukodi ni gharama ngapi.Dr politics,
Habari mkuu, hivi ninapoandika nipo ktk wilaya ya kibiti, kata ya bungu, kijijini nymbunda ambako hakuna hata kiongozi mmoja ktk serikali ya kijiji. Wote walishauwawa na hao magaidi. Lakini maisha na shughuli zetu zinaendelea.
Karibu mkuu uje uchapekazi. Huku muhogo unastawi sanaaaaaa, na gharama za kununua au Kukodi shamba ni rahisi sana.
wew n mwejej ukoKisarawe maneno ya Kizinga mkuu.
50,000zitaje hapa sasa kuwa kukodi ni gharama ngap
50000 kwa msimu mmojazitaje hapa sasa kuwa kukodi ni gharama ngap
watu wanashindwa kuja kufanya kilimo bado hofu ipo juu ya mauaji mungu tusaidie nashukuru sana ndugu tejeteja kwa majibu yako nakuja na maswali mengine kwa wanaohitaj kujua zaidi a b c za kilimo cha mihogo50000 kwa msimu mmoja
Hayo ni maneno tu, wawekezaji wanakuja kutoka nchi za mbali na wanajichukulia fursa.Ila kuna story nazisikia kuwa hayo maeneo ya mkuranga kuna mambo ya ushirikina, wanasema ukilima mavuno yanakuwa madogo sanaaa....
Sawa mkuu, fanya hivyo utufahamishe.Mara nying sana mkoa wa pwan ukitoa mitaaya ruvu sehem nyungine kama mkuranga,kibit na huko masaki ndan na kule kojoa ulale njia ya dondwe hawakodishi mashamba hua wanauza,,msipate shida mashamba huko mkuranga unapata mpka laki mbili unusu kwa hekar,,ila wanapenda ununue kuanzia nne,,maeneo bado yapo ni kazi kwako tu.
Pia kuna mapori nayafuatilia huku njia ya mwanzo mgumu unakatiwa tu unavyoweza mwenyewe,kazi kwako kufyeka,ardhi haijawah kulimwa na ni ule udongo mweus,,nitawatafuta walimaji kule then nitawapa mrejesho.
Hakuna shaka mkuu ntarejesha hapa hapaSawa mkuu, fanya hivyo utufahamishe...
Tunakusubiri kwa shauku kubwa....Hakuna shaka mkuu ntarejesha hapa hapa
Unauza mali ya serikali??Karibu sana morogoro, ninauza milioni moja kwa ekari. Zipo ekari tano. Ni wilaya ya mvomero
Kwa mtu anaanza kulima kwa mara ya kwanza ni vyema asianze kulima ktk eneo la msitu kuna matatizo yake kwanza gharama yake inaongezeka Sana, pili mihogo inakuwa inapinda pinda kutokana na mizizi ya miti. Na wakati wa Kuvuna huwa inatoka kwa taabu Sana.Sawa mkuu, fanya hivyo utufahamishe...