secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,610
Wangekudhibiti alafu wangekufinya kama a little boy....Hata ningekua mimi ningekinukisha kama kojo la mlevi
Wangekudhibiti alafu wangekufinya kama a little boy....Hata ningekua mimi ningekinukisha kama kojo la mlevi
Ningezua utata kama bundi juu ya batiWakekudhibiti alafu wangekufinya kama a little boy....
Mstari gani unasema hivyo mkuu.Mi mwenyewe kwa upande wa Chakula ningewavumilia ila Pombe hapana aisee mana Bible inasema Maisha yafaa nini Bila pombe
Wakekuminya vijana walishavuta bangi mbichiningezua utata kama bundi juu ya bati
Usinichukulie kiivyo, unaleta ugomvi wa ngumi hujui china mi ni shivo?Wakekuminya vijana walishavuta bangi mbichi
Duu, hiyo kaliWaendesha bodaboda wa kituo cha Kisangiro kata ya Kilema Kaskazini wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro wamevamia msiba wa Lenard Abel (20) na kumwaga chakula na pombe kwa madai kuwa marehemu alikuwa hapewi chakula alipokuwa hai.
Walifika katika msiba huo saa 9 alasiri jana Jumatatu Mei 3, 2021 baada ya mazishi wakati mwenyekiti wa ukoo akitoa ratiba ya chakula na kumwaga chakula hicho kitendo kilichozua tafrani na waombolezaji kulazimika kutimua mbio.
Shuhuda wa tukio hilo, Lucy Lyimo amesema kundi hilo la vijana lilifika msibani na kuvamia jikoni na kuanza kumwaga chakula na pombe aina ya mbege sambamba na kuvunja viti.
“Wakati mwenyekiti wa ukoo akitoa ratiba ya chakula kulitokea kundi la vijana zaidi ya ishirini wakipiga ukunga na kusema huyu marehemu kipindi akiwa hai alikuwa hapewi chakula iweje leo amekufa chakula kipo na pombe, " amesema Lucy akibainisha wakati wakisema hayo walikuwa wakielekea ilipohifadhiwa pombe na chakula
Amesema walipomwaga chakula na pombe waliwasha mishumaa na kuelekea makaburi yalikofanyika mazishi.
Mwenyekiti wa kijiji cha Kyou, Paul Lyimo amesema wakati vijana wakifanya vurugu za kumwaga chakula na vinywaji Padri wa Parokia ya Kilema aliyeendesha ibada ya mazishi aliwafuata kuwaomba wasifanye vurugu ila hawakusikia.
"Padri aliwapigia hadi magoti kuwaomba wasifanye hivyo lakini waliendelea kumwaga chakula huku wakipiga ukunga na baada ya hapo walienda kuwasha mishumaa kwenye kaburi na kutawanyika," amesema
Kifungu gani mkuuMi mwenyewe kwa upande wa Chakula ningewavumilia ila Pombe hapana aisee mana Bible inasema Maisha yafaa nini Bila pombe
Ni kweli. Kama walikuwa hawampi chakula halafu alipofariki wakapika hilo ni kosa. BTW kichwa cha habari kilinipiga chenga nikadhani bodaboda wamepeleka chakula msibani kwa wingi (eg kama wanavyosema kumwaga fedha)Duh, washkaji wa marehemu wana msimamo kwelikweli.
Ila kwa upande mwingine inakera sana, unakuta mlishindwa kumnunulia marehemu dawa alipokuwa hai ila wakati wa mazishi mnaweka mpaka makamera na kamati za vyakula na vinywaji.
Hiyo ni sawa, mtu anaumwa hana hela za kujitibu, ndugu wenye uwezo wapoI support their idea.
haipendezi, ila zikiendelea kama hizi tutajua umuhim wa kusolve tatizo inapohitaji kusolve tatizo
Huyo mmojawapoPicha
Sasa mbege imekosa nini?Alazwe pema peponi kamanda...
Si ndio hapo sasa....sasa mbege imekosa nini ?
Tupia vitu basi kule vituko mtandaoni aiseeusinichukulie kiivyo, unaleta ugomvi wa ngumi hujui china mi ni shivo?