figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #61
Murisho
pumbavu.
Murisho
Mkuu Ramadhan Chombo anacheza namba kumi, beki mwingine ni Shomari Kapombe sema yeye amezoea kucheza kiungo ndo maana anapanda sana.Hussen javu kakosa goli baada ya kujiangusha akifikili refa atampa penalti. yeye baada ya kupiga shuti kajiangusha.
Beki yupo JUMA JABU JUMA NYOSO, ERASTO NYONI NA RAMADHAN CHONDO wote wanacheza kwa kuelewana. Mia
Huyu Ramadhani Chidondo ndie yule mwenye rasta kama niye yeye huyu jamaa nimzito kama amefungwa tofali miguuni ila kwa mipira ya juu utamtaka!
hawa kili leo wapo vizuri...
pumbavu.
Wingi ya kushoto imekufa au haikuwepo kabisa...beki bado ni butua butua tu.
Ni dhahiri Ngassa amedumazwa na soka letu,sioni maendeleo yoyote kwa upande wake na sitashangaa Poulsen akiendelea kumweka benchi.
Leo angalau wametulia kidogo.
Hawa washabiki wa Yanga mkuu akili zao wanazijua wenyewe, ni wa kuwaacha tu waendelee kushangilia wageni.hivi kili ikishinda yanga watandelea kuizomea...?
Huyu Ramadhani Chidondo ndie yule mwenye rasta kama niye yeye huyu jamaa nimzito kama amefungwa tofali miguuni ila kwa mipira ya juu utamtaka!
Unamaanisha Ramadhani Chombo " Redondo" ?
Kweli AiBU,
Wameshaa anza kulewa sifa utaona dk.90 wanapigwa 2-1
hivi kili ikishinda yanga watandelea kuizomea...?
MHH RamadhaN chomo aka redondo ndio roho ta kili stars....yeye na mwinyi kazimoto.....anacheza namba 6 ni mpigaji mzuri wa pasi za mwisho...hilo jina redondo halipata kirahisiMkuu Ramadhan Chombo anacheza namba kumi, beki mwingine ni Shomari Kapombe sema yeye amezoea kucheza kiungo ndo maana anapanda sana.
mi nahisi kiwango cha dogo kwa kiasi fulani kimeshuka ukilinganisha na alipokuwa yanga au nyie mnaonaje
Hapo ndo mnategemea mshinde wkt nidhamu sifuli
Hana kiu tena,anahisi ni kama ameshathibitisha kuwa ana kipaji lakini kikubwa ni udhaifu wa ligi yetu,haina changamoto.
Ngassa ameshuka kiwango kwa kukosa changamoto.