Tupashane kinachoendeleea zidi ya Tanganyika aka Tanzania Bara zidi ya Malawi, je tutachomoka.....
Mungu ibariki Tanganyika, Mungu Ibariki Tanzania uwalaaaaaaaaaaaaaaaani wale wote wanaoizomea tanganyika...........
Nimechaka sana kuna jamaa wameshika bango kubwa limeandikwa `wazee wa best looser leo tunawazomea`
There are currently 15 users browsing this thread. (5 members and 10 guests)
WAZALENDO WA UKWELI HAWA ! Manake watu wote washajikatia tamaa na hii timu..ila sisi tumo tu! Big up guys !
Boban na geofray taita wanacheza?....
Nurdin bakarkafunga goli zuri sana konako dakika ya 36. pasi ilitoka kwa Murisho ngasa. Mia
Mpira umeshaanza. matokeo hadi sasa hivi ni bila bila. Mia
Wamefukuzwa walikutwa na changudoa kambini
Wakuu, nasikia gari la Tenga Chila lilionekana jana usiku kwenye hotel waliyofikia Malawi, kuna usalama kweli ha ha ha ha ha ha