Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
Nikisikia hilo liwimbo nahisi harufu ya magamba
Hahahaaaaaaaa acha tuuu,silipendiiiii ila suma lee simchukii.....wimbo tuuu
Nikisikia hilo liwimbo nahisi harufu ya magamba
Kijunguu tu.... Lol!mie huyu dada tu kanikosha..
Mpoki is simply amazing, ai wish waniajiri lol
Hehehee ntakupeleka na wewe ukashone Yummy Yummy au wee chibonge? Wa tenge la pande sita....lol!Imemtoa sana kwakweli,kamependezaaa
Nachuroo kabisaa kigauni kimemkaa mwake....
Unyayo mwekundu as in red bottom za viatu??? ...lol
amezingua bwana ana mashauz kinyama
Hehehee ntakupeleka na wewe ukashone Yummy Yummy au wee chibonge? Wa tenge la pande sita....lol!
Wana JF ni nini hii mbona aibu sana?
Kha! Haya mambo yao ya tuzo yanaboa sana, haujachangamka. Hivi hamjifunzi za VMA, na zingine za Marekani! Naenda kulala kha!
Mi ndiye mwalimu wake!! hapa namfundisha cha kwenda kuongea baada ya hawa akina dada kumaliza kupiga keleleMpoki is simply amazing, ai wish waniajiri lol
Wimbo wa Zouk mshindi anatangazwa na dina na masako eheeeeeeeee ally kiba dushelele
Mi ndiye mwalimu wake!! hapa namfundisha cha kwenda kuongea baada ya hawa akina dada kumaliza kupiga kelele
Basi kweli ni kigauni kimemkaa, maana nlikutana naye saloon moja sikunotisi ana kiuno nyigu lol
ngoja tufurahie God's creation.
Hehehee mdungu umemuona?Basi kweli ni kigauni kimemkaa, maana nlikutana naye saloon moja sikunotisi ana kiuno nyigu lol
ngoja tufurahie God's creation.