King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,609
kawahi kuimba na Akili ila nadhani anaye mng'oa ni producer wake.
Yeah itakuwa
kawahi kuimba na Akili ila nadhani anaye mng'oa ni producer wake.
Mi ndiye mwalimu wake!! hapa namfundisha cha kwenda kuongea baada ya hawa akina dada kumaliza kupiga kelele
Mmmh muonekano wa Roma una tatizo gani?waambie wanaoijifanya masela wa hip hop!huyu nigga ana upeo tatizo muonekano tu ndo hana!
Una utani na muke ya muzungu,mutu ya dubai lol
Mmmh muonekano wa Roma una tatizo gani?
kama huyu hawezi hii nyimbo ya Saida Karoli si angewaambia tu waandaji kuliko huu utumbo anaoufanya.
kama huyu hawezi hii nyimbo ya Saida Karoli si angewaambia tu waandaji kuliko huu utumbo anaoufanya.
muonekano wa kienyeji!hana swagga za kinyamwezi.......
Nimemuona, nilichopenda kwake ni anajua usafi wa kwapa.
hivi King Majuto na Mpoki nani zaidi?? your opinion pls...politics tuziache kwa sasa!!Mmh, wewe huyu?
Ingekuwa pati ya kijani na njano ningekuelewa.
yaani hao waliotoka kuimba sasa hivi sijawaelewa ni nani wao?
Hovyooo kabisa