Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,296
hiz mbwembwe zingine bwana
za uyo mtoa tuzo wa hip hop,..na kot lake la red
hiz mbwembwe zingine bwana
Mkuu Black Bat, iyo link nimeifungua wanadai the content is not currently online due reasons beyond their control. Haya mambo ya online live/electroniki sie bado sana.
Kile kigauni ni cha kitenge eeh?
Amependeza kweli
Nachuroo kabisaa kigauni kimemkaa mwake....Hivi hips hizo ni nachoro??
Kigauni kizuri, sijui ana unyayo mwekundu pia?
mkuu na huku upo?
Ooh yeah wale wamama wote watatu mie napenda nyimbo walizoimba...
mie huyu dada tu kanikosha..
Mkuu Black Bat, iyo link nimeifungua wanadai the content is not currently online due reasons beyond their control. Haya mambo ya online live/electroniki sie bado sana.
za uyo mtoa tuzo wa hip hop,..na kot lake la red
Mmmh huyo sijui nini nini Frank...yap ni kibatik flan iv. Heh uyu mtoa tuzo wa hip hop ana mbwebwe,cjuw ndo swaga! Doh! Af roma kachukua..
Hahahaa daily news haiuzwi kwa mtogole...Nani kafiwa baba kamwachia baskeli haina hata pampu?