Kilichotutokea jana Bambalaga - Dodoma

Wanywaji wa dom town ni walewale..

Hata pestana haikufa,aliamua tu kuifunga maana ilipoteza sifa ya kua pestana kwa sbb vijana wa chuo walikua wanafurika,expectation yake ni lounge iwe classic ya watu fulani maalum,ikapoteza target ya expectation akaifunga tunaskia anafanya maboresho ili iwe ya watu flan sio wanafunzi wa chuo tena…ndo maana hata sasa pale bambalaga wanazuia wakikuhisi wewe ni kijana wa chuo..
 
Hata pestana haikufa,aliamua tu kuifunga maana ilipoteza sifa ya kua pestana kwa sbb vijana wa chuo walikua wanafurika,expectation yake ni lounge iwe classic ya watu fulani maalum,ikapoteza target ya expectation akaifunga tunaskia anafanya maboresho ili iwe ya watu flan sio wanafunzi wa chuo tena…ndo maana hata sasa pale bambalaga wanazuia wakikuhisi wewe ni kijana wa chuo..
Kwahiyo vijana wa chuo hawawezi nunua hizo beer
 
, kuna ujinga jinga mwingi sana hapo. Ubishoo wa kipuzi puzi mwingi sana hapo.

Halafu vijamaa na vi-crown, athletes, ist, subaru, alteza, premio, fuga, alphard, voltz, noah, brevis, rumnio na jamii nyingine za baby walker wanajazana humo.

Utakuta vifunguo vya baby walker wanavitikisa tikisa ili kuwakoga vicheche na sampuli zingine za washamba washamba.
Mkuu una gari gani wewe, maana kuitaja crown na Nissan Fuga kama baby walker ni kukosea heshima hivyo chuma.
Pls mention your car na usidanganye
 
Mkuu una gari gani wewe, maana kuitaja crown na Nissan Fuga kama baby walker ni kukosea heshima hivyo chuma.
Pls mention your car na usidanganye
Mkuu, mimi bado sijamiliki gari Lakini zote hizo nilizotaja ni jamii ya baby walker(fuga na crown kidogo zime-advance). Huwezi kusimama mbele ya wanaume ukasema unamiliki usafiri.

Ndio nyie mnaowatambishia baa medi kutoka Manyara na vi-crown na vi-fuga vyenu hapo Bambalaga.
 
Mkuu, mimi bado sijamiliki gari Lakini zote hizo nilizotaja ni jamii ya baby walker(fuga na crown kidogo zime-advance). Huwezi kusimama mbele ya wanaume ukasema unamiliki usafiri.

Ndio nyie mnaowatambishia baa medi kutoka Manyara na vi-crown na vi-fuga vyenu hapo Bambalaga.
Mkuu wewe ni wa pekee, agiza K-vant big hapo bill kwangu
Huna gari na bado unaponda gari.
Haturingishii bwana ni mawazo yako na wengine, napark naingia sehem napata huduma au kilichonipeleka natoka kama kuna mtu anaona ameringishiwa hayo yanakuwa mawazo yake.

Ila Bambalaga hapafai
 
Mkuu wewe ni wa pekee, agiza K-vant big hapo bill kwangu
Huna gari na bado unaponda gari.
Haturingishii bwana ni mawazo yako na wengine, napark naingia sehem napata huduma au kilichonipeleka natoka kama kuna mtu anaona ameringishiwa hayo yanakuwa mawazo yake.

Ila Bambalaga hapafai
, kweli pale hapafai. Kuna tofauti kati ya mtu kumiliki gari au ndinga. Mimi namiliki ndinga thamanu yake haipungui 98 milioni. Nyie mnaomilki vi-fuga na vi-crown (kuburuza makalio) ndio wamiliki wa magari sio ndinga (kutembelea makslio). Kuna tofauti kati ya kutembelea makalio na kuburuza makalio
 
, kuna ujinga jinga mwingi sana hapo. Ubishoo wa kipuzi puzi mwingi sana hapo.

Halafu vijamaa na vi-crown, athletes, ist, subaru, alteza, premio, fuga, alphard, voltz, noah, brevis, rumnio na jamii nyingine za baby walker wanajazana humo.

Utakuta vifunguo vya baby walker wanavitikisa tikisa ili kuwakoga vicheche na sampuli zingine za washamba washamba.
Hahahahah mkuu ning'iniza hata ys fekoni yako acha dharau boss
 
Ila Dodoma kwa umalaya Sasa haijambo! Watoto wanauza K kama nanasi za Chalinze. Sio Malaika,Mara kule Chako,Mara Bambalaga,Mara sijui CBC. Sitasahau,Ile nimeshuka tu Toka kwenye Mwewe wetu wa Taifa- AirTZ Ile mdogomdogo natoka getin nikachukua boda. Atari sana, sikujivunga nikamshirikisha boda. Bodaboda aliwahi niunganisha na mtoto Mkale maeneo ya Makole, tukachati badae mtoto akanambia ngoja kwanza nikutumie picha zangu unione, kama ukinielewa sawa, ntakuja. Duuu! Ile anatuma 2 za mwanzo tu.Nikamwambia njoo haraka. Nilikula mzigo safi, mpaka nikabaki nasikiliza wimbo... Jaman Dodomaaa, Dodoma yetu. Nina Imani mwaka huu nitaenda tena Dom,nikale nyama ya kisi. Hao malaya wa Bambalaga wakomeshwe mapema,au pafungwe maana wanatunyima viongozi watarajiwa kula maisha na kuweka akili freshi.
Makole karibu na CBE kuna malaya wana room zao huko .
 
Hicho kibaa kina mambo ya aibu na uhuni sana Dodoma nzima, huwa kinamilikiwa na Jamaa mmoja mfupi anaitwa mtei.
Ni bar ya kihuni kwani wahudumu ni wahuni, walinzi ni wahuni na wanaenda wahuni tu pale, mtu na heshima yako ukienda pale lazima ukimbie!
Hshahahah ujumbe wameupata
 
Dodoma kwny sekta ya umalaya ndo kwenyewe
Siku hizi imekuwa chimbo kubwa

Kuna maduu wawili niliwahi kutana nao Tanga kstika harakati za kunyanduana wamehamia huko na hawataki kurudi Tangs kwenye familia zao wanasema Tanga hakuna dili

Wako makole CBE na ni PINI kali kweli kweli aisew
 
Mkuu wewe ni wa pekee, agiza K-vant big hapo bill kwangu
Huna gari na bado unaponda gari.
Haturingishii bwana ni mawazo yako na wengine, napark naingia sehem napata huduma au kilichonipeleka natoka kama kuna mtu anaona ameringishiwa hayo yanakuwa mawazo yake.

Ila Bambalaga hapafai
Huyo jamaa mimi nimemshauri aning'inize hata ufunguo wa chumba chake au fekoni aache wivu
 
Yaani nikipata hadithi kama hizi naumia sana jinsi Wanaume wanavyokutwa na mambo meusi wakienda kulewa sehemu ambazo malaya wanafanya mishe zao.

Mtu wangu aliendaga na m1 baa ikiwa ni mshahara wake wote katoka kuchukua benki hajatumia hata shilingi akasema nipite baa nipate bia kidogo niende nyumbani.

Bhana wee akatokea mrembo akajichanganya akajidai amemuelewa kilichofuata alistuka kutoka usingizini akajikuta hana hata nauli ya kurudi hom na demu hayupo na hajui kaenda wapi.

Basi ndo ikawa imekula kwake.
 
Yaani nikipata hadithi kama hizi naumia sana jinsi Wanaume wanavyokutwa na mambo meusi wakienda kulewa sehemu ambazo malaya wanafanya mishe zao.

Mtu wangu aliendaga na m1 baa ikiwa ni mshahara wake wote katoka kuchukua benki hajatumia hata shilingi akasema nipite baa nipate bia kidogo niende nyumbani.

Bhana wee akatokea mrembo akajichanganya akajidai amemuelewa kilichofuata alistuka kutoka usingizini akajikuta hana hata nauli ya kurudi hom na demu hayupo na hajui kaenda wapi.

Basi ndo ikawa imekula kwake.
Dah so sad, yaani hawa madem basi tu, juzi nilikuwa kiwanja kimoja hapa chugga ( picnic ) si nikawakuta washikaji na baada ya muda wakataka kunikamatisha malaya flani hivi nikashtuka na baadae Kuna mwana akaniambia hao malaya wezi kinoma . Sema picnic Kuna wahudumu wazuri qmmk yaani mle wanaume tukienda tunachanganyikiwa sana, yaani watu wanapenda picnic kwa sababu ya wahudumu pisi kali
 
Back
Top Bottom