Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,478
Mwenye bar atakuwa mtu wao au anagawana nao faida si kwamba ajuiUmeambiwa Bambalaga. Iko karibu na Shopping Mall/Shell kabla ya Kisasa.
Jamaa yako kama sio wewe ni mjinga tu!! Alikubalije/ulikubalije kuliwa denda kirahisi hivyo?
Inaonekana yeye/wewe ni mgeni pale. Wajanja wanapajua kuwa pale ni mesheni town tupu wamejaa.
Wanamharibia mwenye baa bila yeye kujua. Anatakiwa awe anawabadili kila mara ili wawe na hofu ya kutokufanya ujinga.
Siku nyingine uchukue tahadhari kwani pale sio poa ni pa hovyo sana.