Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Hahahhahhaa Sina niendapo nipapo mie"Yasoma". Umenikumbusha mbaali Mtanga weye. Waenda wapi habiby
Hahahhahhaa Sina niendapo nipapo mie"Yasoma". Umenikumbusha mbaali Mtanga weye. Waenda wapi habiby
Astaghafulillah mi na tigo wapi na wapi ?We hutumii
MweehAstaghafulillah mi na tigo wapi na wapi ?
naona unachange pp kama upo fb au waMweeh
Wa mkoani na ubuyu wapi na wapi? Hii Daslmu pure kabisa....Wa mikoani hao balaa
yaelekea ww hujawah kutoka hata nje ta tanzania
Basi naja nakuletea zawadi, niandalie wali wa basmat.Hahahhahhaa Sina niendapo nipapo mie
Ni kwa vile tayari kuna muingiliano wa masafaIliendelea kusoma TIGO lakini mtandao unasumbua sana mkuu
Hahhahhahahhahnaona unachange pp kama upo fb au wa
Hahhahahhahahhahahha wallahi nimecheka hahahha nikuekee maji viungo kwani ni chai hiyoBasi naja nakuletea zawadi, niandalie wali wa basmat.
Ila punguza viungo kwenye maji ya kuoga. Juzi rafiki yangu kasema nanukia kama mandazi
Kawaida sana kwa sisi wakazi wa Rombo, hata radio nyingi zilikuwa ni kena , ila sasa hivi kuna kill fm na moshi fm, hta magazeti mengi ni kenya, Rombo miaka ya 2000 kushuka chini ilikuwa ni kama Kenya Full sasa hivi kuna afadhaliNilibahatika kwenda maeneo ya Rombo leo lakini nilipofika maeneo ya ROMBO MASHATI iliingia sms hii kwenye simu yangu.
Tigo welcome you to Kenya use data at lowest rate of $0.15MB on safaricom network.
Enjoy your stay.
Ina Maana Rombo nayo iko Kenya?
Duuuh, endapo ukiwa Kenya mpakani mwa Tz je inaweza ikachange au ukatumiwa sms toka huku kama ambavyo inatokea huku sijuiTena ikawa yajibadili badili mara tigo Kenya mara safsricom
Mabokweni, Kisosora, Amboni, mikocheni,My dear hutokea sana limeshawahi kunitokea nikiwa tanga nilienda sehemu inaitwa duga maforoni nilikua safari yangu iishie horohoro nilipofika hapo duga nikapata sms inatoka tigo ikinambia safaricom welcomes you to kenya nikawa nashangaa tu itakua rombo huko ulikokwenda kupo karibu Na Kenya Bila shak
Maramba, MoaKumbe madame s ukp karibu na zingibari,utakuwa unapatikana maeneo ya Tanga wewe.