Kilichonishangaza Rombo

Kilichonishangaza Rombo

Nilibahatika kwenda maeneo ya Rombo leo lakini nilipofika maeneo ya ROMBO MASHATI iliingia sms hii kwenye simu yangu.

Tigo welcome you to Kenya use data at lowest rate of $0.15MB on safaricom network.

Enjoy your stay.

Ina Maana Rombo nayo iko Kenya?
Hata mimi nilivyokuwa Rombo nilipata msg hiyo,nilipokuwa Longido nikasema nikatembee Namanga nilikaribishwa na msg hiyo.Nilipokuwa Tunduma nikatumiwa msg ya kukaribishwa Zambia.Nadhani ni kutokana na ukaribu wa hizi nchi so hata mawimbi ya mitandao hii ya simu unapokuwa sehemu fulani huingiliana.
 
ni kawaida ukiwa sirari tarime unaweza tumia minara ya kenya fresh sana na sio simu tu hata pesa ya kenya wanaikubali unawwza fanyia manunuzi bila shida hali kadharika ukiingia insbania country ya migori kenya unaweza tumia minara ya Tz au kenya na pesa ya Tz wanaikubali poa kabisa
 
Back
Top Bottom