Simu yako inakua ipo roaming,kama una package ya roaming unafanya mawasiliano kawaida kwa rate za roaming,Redio kushika Frequency za Nchi nyingine ni kawaida sana hasa kwenye maeneo ya mipakani mwa Nchi, Hilo suala la mitandao ya simu ni vigumu sana kunimezesha kwamba inawezekana wakati ukipiga simu unakatwa kodi ya Nchi za Kimataifa sio kitaifa. Bado suajelewa hapo kwa kweli!!
.use your brain pale ni karibu na mpaka na mawimbi ya mitambo ya simu haina mipaka.inavuka had mwisho wa nguvu zake.na haizid 10 km from mnara ulipo.sasa hapo unakuta mnara upo laset wa safaricom na voda upo tarakea.