Kilichonishangaza Rombo

Kilichonishangaza Rombo

SWALI:
Ivi kwanini Hao wakenya au nchi za jirani Wakisogea karibu na mipaka yetu huwa simu zao hazinasi minara yakwetu kama zinavyofanya simu zetu??
-powerful gadgets walizofunga za masafa
- wamesogeza kidogo mipaka ya masafa kwenye satellites receivers
 
Vp mkuu tupe ushuhuda wa ukweli kuhusu wanawake wa kichaga huko kukodi vidume vya kikenya kwa ajili ya tendo la ndoa na mbegu.Maana inasemekana wanaume wa kichaga jongoo kajikunyata kutokana unywaji komoni na mbege uliopitiliza.
Wakodi wanaume kutoka Kenya
Hahahaa mkuu tunajionaga tunakunywa ila kuna watu ni walevi duniani ila kuhusu wanawake kukodi sijaliona bado kwa kweli...
 
Duuuh, endapo ukiwa Kenya mpakani mwa Tz je inaweza ikachange au ukatumiwa sms toka huku kama ambavyo inatokea huku sijui
Nilipofika vanga ambapo nimekua nimeingia Kenya tigo tz ikakata ikabaki mara safaricom mara tigo Kenya nilipofika mpakani siku ya kurudi ikarudi tigo tz yangu na kitendo cha kufika horohoro upande wa Kenya sms hazitoki Wala kuingia
 
-powerful gadgets walizofunga za masafa
- wamesogeza kidogo mipaka ya masafa kwenye satellites receivers
Sasa Tanzania tunashindwa Wapi? Kama inamanufaa kwanini tusifuate mfumo huo?
 
Kuanzia mkuu,mashati,useri na tarakea unapata coverages ya mitandao ya simu toka kenya,hata redio za fm nyingi unapata za Kenya
Redio kushika Frequency za Nchi nyingine ni kawaida sana hasa kwenye maeneo ya mipakani mwa Nchi, Hilo suala la mitandao ya simu ni vigumu sana kunimezesha kwamba inawezekana wakati ukipiga simu unakatwa kodi ya Nchi za Kimataifa sio kitaifa. Bado suajelewa hapo kwa kweli!!
 
Kwasisj tunaozunguka hili bara la Africa hilo ni jambo la kawaida sana wala sio hapo tu.
 
Hii ishanitokea kule Tunduma, nliambiwa Welcome To Zambia
 
Back
Top Bottom