Kinyongo cha CCM dhidi ya Tido ni pale aliporusha midahalo ya wagombea ubunge majimboni la ajabu CCM waligoma kushiriki wakidai siyo sera yao kuwajuza wananchi juu ya wasifu na malengo ya kugombea ya wateule wao.
Baada ya hapo, JK kwa ghadhabu kubwa alitengua uteuzi wa mwathirika huyu wa umangimeza wa CCM!
Leo azushiwa jinai za manunuzi huku haohao leo wananunua from single source mifano mfukoni lakini.
Hata kandarasi kubwa kubwa waheshimiwa hawa hudai..."waachiwe wao" kwani mkandarasi tayari wanaye mfukoni.
Sijui wako juu ya sheria au kuna nini hapo.
Sheria ya manunuzi inaruhusu single sourcing sasa uhujumu uchumi unachipukia wapi?
Viwanda vya kusulubiana kwa sababu za chuki na vinyongo vya kisiasa ni tishio kwa usalama wa taifa!
Acheni uhasama tujenge nchi, pliiiiiiiiiiz
SAHIHISHO CHA KICHWA CHA HABARI
Siyo uwaziri bali uwazi