Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 186
Linah mwimbaji bora wa kike...ha!ha!ha!
naomba kujua zaidi ya tuzo kuna hela wanapewa?Linah mwimbaji bora wa kike...ha!ha!ha!
Its not ttizo la ITV/TV. Tatizo ni Event Organizer wa hii ki2.Inahitajika elimu kubwa sana kuandaa hivi vitu. Ni aibu kubwa kwa Tuzo za muziki kubwa kuliko zote ktk nchi hii kuonekana kichekeshoPengine walio ukumbini wanaenjoy zaidi/wanaona vitu bora zaidi! Kwa ss tunaoangalia tv itv wametuangusha...
Its not ttizo la ITV/TV. Tatizo ni Event Organizer wa hii ki2.Inahitajika elimu kubwa sana kuandaa hivi vitu. Ni aibu kubwa kwa Tuzo za muziki kubwa kuliko zote ktk nchi hii kuonekana kichekesho
sabu inayofanya kill awards kudorora ni wasanii wenyewe kwa aliekuwa na wazo hili ni marehemu MTOTO WA DANDU na alichokifanya ni kutafuta wadhamini wa tukio kwa hali hiyo tukio haliwezi noga kwakutokushiri kwa wamewaachia wadhamini kuteka kila kitu.watu wanaweza kutofautisha kati ya itv na maandalizi mabovu
na kutuwekea nyimbo za mwaka juzi nayo ni itv:embarassed2:
20 again wow jamaa anaweza sana ila kaboa ajatokea
Angalau uchaguzi wa 20% kwa tunzo nne kwa nyimbo zake kidogo unaleta maana.Sitak kuamin kama ni Watz ndio wamemchagua mwimbaji bora wa nyimbo za asilia kuwa ni Mpoki na kibao chake cha Shangazi katika kinyanganyiro cha tuzo hiyo iliyowashirikisha wasanii wengine kama Mrisho mpoto na kibao chake Adela lkn kura za watz zilimwangukia Mpoki.Ikiwa kama watz wa leo tunachagua nyimbo zenye mashairi ya SHANGAZ UNA NYETI KULIKO HIZI TUNAZO, NYOKA HANA KIUNO NDO MANA HAVAI SHANGA kama anavyoimba mpoki na kuacha nyimbo zenye mashairi ya kutufundisha na kuonya basi tumekwisha.
ILA KAMA MAF
tishet ya stara haijaandikwa '***' **** si ndio au macho yangu