Kili Music Awards 2011

Kili Music Awards 2011

BiMkubwa upoooo!!?? yaani, ni kama tumeumbwa kuwa watu wa substandard.. we are inspired to be great; just to be minimum! like a nation of bare minimum!

Nipo hun! Niende wapi? Star times imenichosha sasa natazama hii award show initoe boredom. Upo hapa! I can imagine whats going through your mind. or is it streaming live online?

Yaani ni kweli yaani we are a nation of substandards huwezi amini.
 
Stara Thomas kapanda kwenye stage kuperform, ndani ya shati kavaa t shirt imandikwa ***, isnt this ****?! Coz huwa wanainterchange letters siku hizi. Mama mtu mzima! Aibu
 
Kwanza kwanini wanaweka kwa mtindo wa dinner gala; hii ni show ya zawadi na tuzo; watu wataenda kula kwenye tafrija zao huko huko au watakuwa wameshapata kidogo mitaa hiyo mingine ndio maana show inaanza a little bit late.. watu wanakuja kwa shughuli moja tu hapo.
 
Stara anajitahidi sana kuimba 'live'...............Utu uzima dawa
 
Nipo hun! Niende wapi? Star times imenichosha sasa natazama hii award show initoe boredom. Upo hapa! I can imagine whats going through your mind. or is it streaming live online?

Yaani ni kweli yaani we are a nation of substandards huwezi amini.

yeah nilikuwa naangalia ITV; kweli sifichi yakanishinda.. nilijaribu kuwa mzalendo lakini nikajua labda my mind has already been corrupted..
 
Mtunzi bora wa nyimbo 20%,Best producer Lamar,Rapa bora dance Khalid Chokoraa,Best video action-Cpwaa,Best rnb song Ben Paul,Best African Song Mpoki-Shangazi.
 
Stara Thomas kapanda kwenye stage kuperform, ndani ya shati kavaa t shirt imandikwa ***, isnt this ****?! Coz huwa wanainterchange letters siku hizi. Mama mtu mzima! Aibu

Hata mimi namshangaa............Mlokole gani anatangaza matusi...........lol

Kaimba vizuri though
 
Kwanza kwanini wanaweka kwa mtindo wa dinner gala; hii ni show ya zawadi na tuzo; watu wataenda kula kwenye tafrija zao huko huko au watakuwa wameshapata kidogo mitaa hiyo mingine ndio maana show inaanza a little bit late.. watu wanakuja kwa shughuli moja tu hapo.

MwanaJJ, yaani bongo bila gala design people will not cough up money for tickets! Viti vitakuwa vitupu.
Na huu mtindo wa gala unafanya a 2 hour event kuwa 4 hour event. Its a few minutes to midnight! Ona sasa!
 
kweli Tz bado kwa kila kitu, hata kuimba live wasanii inawasumbua. Kumbe huwa wanasaidiwa na mavyombo ya studio..lol
 
Ahahahaah! Kumbe ndio hivyo nilikuwa silijui hili.
Yep Katavi , Kama tumeamua kwenda kiglobal basi tujitahidi kwenda sambamba na dunia. Mwanamke siku zote anabusiwa, sio kukumbatiwa. Tena kuna wanume wanamgonga mwanamke bega kabisa. Mtawavunja warembo wa watu
 
yaani hizi awards kila kitu kimekosewa, yaani hata hawa watu wanavyo perform hamna msisimko sijui kwa nini, yaani nimewaona baadhi ya artist before na wameperform much better thani this
kama uliangalia BSS final utaona watu kama diamond, mwasiti nk wali perform vizuri kweli na hata mwanga ulikuwa mzuri
waandaaji wamelala, washehereshaji wamelala, wanamziki wamelala na ata watu walioudhuriao wote wamelala
 
Huu uvaaji wa JOH MAKINI mmhhhhhhhhhhhhh..............Sijui ndo USELA ama UJINGA
 
JOH MAKINI U rock men! Uko level nyingine brother. Huyo mke wa Marlow nona kakuganda sijui anataka nini!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom