Kili Music Awards 2011

Kili Music Awards 2011

Huyu Maimartha Jesse mbona kawa Tipwatipwa hivi...........dah
 
Nimejaribu kuangalia show yenyewe kwangu ilikuwa torture imebidi nirudi kuangalia Al-jazeera hapa! Kwa ufupi:

a. Ipo haya ya kuanzishwa kwa Tanzania Academy of Music - ambacho kitatokana na kile Chama cha Wanamuziki Tanzania (CHAMUTA??)
b. Ndio wao watatakiwa kuandaa tuzo ya muziki ya kitaifa ambao wapiga kura wake ni wanachama watupu wa chama hicho-
c. Academy ndio iuze haki za kutangaza mashindano haya na kuyaandaa..

Vinginevyo, yawezekana kulikuwa na raha kama uko ndani ya ukumbi lakini ukumbini ni vurugu tu; yaani hata kutumia spot light imekuwa ngumu.
 
Hivi hii Kili music awards ina EVENT ORGANIZER? Ni kinyaa kitupu kwenye stage jamani. Watu hawawezi kujieleza, wanashukuru ukoo mzima, marafiki, maproduzer puh! Wengine wanagombea kupokea tuzo. Hao watoaji tuzo wenyewe wana maneno mengi, wewe umepewa kazi ya kumpa mwanamuziki tuzo unaleta story za nini? Mwishowe wanajiumauma na kuchemka kama Nsajigwa katia aibu alipokuwa anamtangaza mshindi.

Napendekeza kuwe na REHESAL kwa wanaowania tuzo wote, wagawa tuzo, na ma MC. Ikiwezekana umeze kabisa utakachosema ukifika pale stejini, na jinsi ya kuipoke tuzo yako. Loh! Halafu nani kasema huyo Milard Ayo anafaa ushereheshaji? Huyo ni presenter mzuri sana kwenye TV na radio but si MSHEREHESHAJI jamani! Anachemka kinoma. Mpoki amejitahidi, hajaongea utumbo, Mzee small na Bi Chau wamefurahisha, C Pwaa yuko presentable hata kwenye kupokea tuzo amejitahidi. Watu hawako serious, hawako presentable ni kichefuchefu.

Huyo Lina nae sijui kavaa nini, wacheza shoo wake wadada wamependeza kama nini na vigauni vyao vya silver , yeye hata sijuui kavaa nini. Duh! Bado tuko nyuma sana. Naona hata aibu jamani. Hivi huwa hawatizami Grammy, Emmy na tuzo zingine?
Yaani mwaka huu wamechemka mbaya!
 
Elimu kwa wanaume wote wanaopanda kwenye stage na wanaume wengine wote wa kitanzania. Mwanamke hakumbatiwi! Mwanamke anabusiwa. hug the gentleman but kiss the lady please!
Mnangangania kukumbatia wadada wa watu tena mnawagonga as if ni mwanaume mwenzako. Mtaumiza wake za watu. Kwenye event Mwanamke hua anabusiwa hakumbatiwi. Take that..
 
a. Ipo haya ya kuanzishwa kwa Tanzania Academy of Music - ambacho kitatokana na kile Chama cha Wanamuziki Tanzania (CHAMUTA??)
b. Ndio wao watatakiwa kuandaa tuzo ya muziki ya kitaifa ambao wapiga kura wake ni wanachama watupu wa chama hicho-
c. Academy ndio iuze haki za kutangaza mashindano haya na kuyaandaa..

POINT!!! Hear! Hear! Pia wanahitaji mtaalaam mzuri wa sound engineering otherwise utumbo wote tunaousikia sasa utatufanya tuzidi kudharau tuzo hizi
 
Elimu kwa wanaume wote wanaopanda kwenye stage na wanaume wengine wote wa kitanzania. Mwanamke hakumbatiwi! Mwanamke anabusiwa. hug the gentleman but kiss the lady please!
Mnangangania kukumbatia wadada wa watu tena mnawagonga as if ni mwanaume mwenzako. Mtaumiza wake za watu. Kwenye event Mwanamke hua anabusiwa hakumbatiwi. Take that..
Ahahahaah! Kumbe ndio hivyo nilikuwa silijui hili.
 
Sasa Stara ataimba nini zaidi ya zilipendwa! Its like listening to Georgina in 2011!
 
POINT!!! Hear! Hear! Pia wanahitaji mtaalaam mzuri wa sound engineering otherwise utumbo wote tunaousikia sasa utatufanya tuzidi kudharau tuzo hizi

BiMkubwa upoooo!!?? yaani, ni kama tumeumbwa kuwa watu wa substandard.. we are inspired to be great; just to be minimum! like a nation of bare minimum!
 
tishet ya stara haijaandikwa '***' **** si ndio au macho yangu
 
Back
Top Bottom