Kili Music Awards 2011

Kili Music Awards 2011

Kama kawaida KOMBINENGA ,, man worra man wolter, man maji anaenda anamuwakilisha 20% kuchukua tuzo ya tano. Wabongo sasa tunaelewa asili na vionjo vya muuzic wa nyumbani...... Hongera 20%
 
kila cku 2taendelea kulalamika na vitu vcvykua na mcngi... Hao wamejitaidi leo kulinganisha na awards zote zilizopita, kuanzia kupga live band kushlikisha wasanii wa ndani 2 ktoa burudan na v2 vngne vingi.!! Ka mtashndwa kuwapongeza kwa hcho kdgo daima 2tabak nyma kila cku, ni bora 2kawapa moyo au ka vp anzisheni za kwenu 2zione.... Unakuta m2 ajapiga ata kula alaf ndo wakwnza kulalamika humu cjui unategemea nin

ndgu huu uandishi wa kisharobaro unantatiza sana.
 
naona amestahili


Video haina kichwa wala miguu, picha zinachanganyika bila mpangilio au sababu ya yule demu wa jamaica ndio unadhani aina stahili, mimi na dhani ni moja ya worst videos za Adam, bora haat ile video Shoga ingawa sijaicheki vizuri .
 
Uchakachuaji wa hizo 1 billions ndio uliokithiri na wa barnaba wa THT, fikiria hiyo stage ilivyo cheap na hivyo vitaa vya christmas utadhani tuko kwnye harusi, sijui kwanini hawajatambua umuhimu wa spot light? Halafu hawa Digital Arts dijui walilipwa kiasi gani sijui nao wamechakachulia, kwenye Ukumbo hizo screen zao zili kuwa blursh , huoni kabisa, kwakweli huu ni Mradi wa kina Minja na Kavishe.
 
Wadau tunaomba mwenye list ya winners wa kili music award atubandikie hapa.
nawasilisha

UPDATES:
kwa mujibu wa PAULSS here are list

Msanii bora wa muziki wa kike n- JAY DEE

Msanii bora wa muziki wa kiume - 20%....

Wimbo bora wa mwaka - TAMAA MBAYA 20%

Muimbaji bora wa kike - LINAH

muimbaji bora wa kiume - 20%

Msanii mpya anayechipukia;- LINAH

Msanii Bora wa Hip Hop;- JOE MAKINI

Reppa Bora wa Mwaka-Bendi; KHALID CHOKORAA

Mtayarishaji bora wa Muziki(Producer);- LAMAR

Mtunzi bora wa nyimbo;- 20%

Video bora ya mwaka ya Muziki; - Action C PWAA

Wimbo bora wa Afrika Mashariki; - ( Nitafanya) JAY DEE FT KIDUMU

Wimbo bora wa kushirikisha/kushirikishwa; - (Ukisikia paaa), JCB ft FID Q na JAY MORE

Wimbo wa Raga/Dancehall; - (action), C PWAA

Wimbo bora wa reggae - (Ujio mpya) HARD MAD ft ENIKA

Wimbo bora wa zouk - (Nabembelezwa) BARNABA BOY

Wimbo bora wa afro pop - (Tamaa mbaya) 20%

Wimbo bora wa hiphop - (ukisikia paa!) JCB

Wimbo bora wa RnB - (Nikikupata) BEN PAUL

Wimbo Bora wa TAARAB - (valentine) JAHAZI MODERM TAARABU

Wimbo Bora wa Kiswahili-Bendi, - (Shika ushikwapo), MAPACHA WATATU

Wimbo bora wa Asili tuzo imekwenda kwa SHANGAZI wa MPOKI........
 
tatizo ni utaratibu wa kuchagua. Waweza vote hata mara mia kwa msanii mmoja. Unategemea nini?
 
HAWA NDIO WALIO IBUKA KIDEDEA KILI MUSIC AWARD 2011

Msanii bora wa muziki wa kike n- JAY DEE

Msanii bora wa muziki wa kiume - 20%....

Wimbo bora wa mwaka - TAMAA MBAYA 20%

Muimbaji bora wa kike - LINAH

muimbaji bora wa kiume - 20%

Msanii mpya anayechipukia;- LINAH

Msanii Bora wa Hip Hop;- JOE MAKINI

Reppa Bora wa Mwaka-Bendi; KHALID CHOKORAA

Mtayarishaji bora wa Muziki(Producer);- LAMAR

Mtunzi bora wa nyimbo;- 20%

Video bora ya mwaka ya Muziki; - Action C PWAA

Wimbo bora wa Afrika Mashariki; - ( Nitafanya) JAY DEE FT KIDUMU

Wimbo bora wa kushirikisha/kushirikishwa; - (Ukisikia paaa), JCB ft FID Q na JAY MORE

Wimbo wa Raga/Dancehall; - (action), C PWAA

Wimbo bora wa reggae - (Ujio mpya) HARD MAD ft ENIKA

Wimbo bora wa zouk - (Nabembelezwa) BARNABA BOY

Wimbo bora wa afro pop - (Tamaa mbaya) 20%

Wimbo bora wa hiphop - (ukisikia paa!) JCB

Wimbo bora wa RnB - (Nikikupata) BEN PAUL

Wimbo Bora wa TAARAB - (valentine) JAHAZI MODERM TAARABU

Wimbo Bora wa Kiswahili-Bendi, - (Shika ushikwapo), MAPACHA WATATU

Wimbo bora wa Asili tuzo imekwenda kwa SHANGAZI wa MPOKI........

Big up to 20% amezoa tuzo 5
 
Afadhali yako unaeulizia list tu ila haukuona hilo tukio, maana kila kitu kilikuwa kipo hovyo hovyo, wanamuziki wanashindwa kuimba live, washindi hawana la kuongea zaidi ya kutuma salamu utadhani tupo kwenye kipindi cha kutuma salamu cha radio Tz. Bado tupo nyuma sana coz kasoro ndogondogo na za wazi zilikuwa kibao mpaka inaboa..
 
Afadhali yako unaeulizia list tu ila haukuona hilo tukio, maana kila kitu kilikuwa kipo hovyo hovyo, wanamuziki wanashindwa kuimba live, washindi hawana la kuongea zaidi ya kutuma salamu utadhani tupo kwenye kipindi cha kutuma salamu cha radio Tz. Bado tupo nyuma sana coz kasoro ndogondogo na za wazi zilikuwa kibao mpaka inaboa..
tuko nyuma kila kitu kwahiyo haishangazi

Nawapongeza waandaaji na washiriki

It was fun to watch
 
Jamani yupo wapi Diamond, hata tuzo moja hakupata.......::lalala:
 
Wadau naombeni mawazo yenu juu ya hili,inawezekana vp msanii bora wa hiphop asiwe na nyimbo bora ya hiphop?jana nilishangaa kuona Joh makini akipewa tuzo ya msanii bora wa hiphop lakini ameshindwa kwenye nyimbo bora ya hiphop na JCB,nadhani JCB alistahili kupewa tuzo ya arstist bora wa mwaka,ninyi mwaonaje?
 
Aliitegemea mbagala imtoe bahati mbaya kakutana na kisiki toka kwa 20%
 
Afadhali yako unaeulizia list tu ila haukuona hilo tukio, maana kila kitu kilikuwa kipo hovyo hovyo, wanamuziki wanashindwa kuimba live, washindi hawana la kuongea zaidi ya kutuma salamu utadhani tupo kwenye kipindi cha kutuma salamu cha radio Tz. Bado tupo nyuma sana coz kasoro ndogondogo na za wazi zilikuwa kibao mpaka inaboa..

Tatizo shule.........hawa jamaa kazi yao ni kuuza sura tu,hawajui kujenga hoja kama watu muhimu katika jamii....
 
Wadau naombeni mawazo yenu juu ya hili,inawezekana vp msanii bora wa hiphop asiwe na nyimbo bora ya hiphop?jana nilishangaa kuona Joh makini akipewa tuzo ya msanii bora wa hiphop lakini ameshindwa kwenye nyimbo bora ya hiphop na JCB,nadhani JCB alistahili kupewa tuzo ya arstist bora wa mwaka,ninyi mwaonaje?

Inategemea vigezo vinavyotumika kwa kila category
 
Afadhali yako unaeulizia list tu ila haukuona hilo tukio, maana kila kitu kilikuwa kipo hovyo hovyo, wanamuziki wanashindwa kuimba live, washindi hawana la kuongea zaidi ya kutuma salamu utadhani tupo kwenye kipindi cha kutuma salamu cha radio Tz. Bado tupo nyuma sana coz kasoro ndogondogo na za wazi zilikuwa kibao mpaka inaboa..

Mkuu mapungufu yalikuwepo lakini si kwa kiwango tunacho lalamikia, tatizo lingine ni kuwa watu wanataka liwe sawa na award za usa.
Mimi binafsi sikupendezwa na jinsi ITV walivyoshindwa kulionyesha vizuri.
Kilimnjaro wamejitahidi kutafuta client ambao ni best hapa bongo kutengeneza jukwaa nk na kwa bongo pale ndio mwisho. kuhusu pongezi walizotoa wasanii sijui umelinganisha na zipi maana hizo za wenzetu watu wanaongeaga utumbo hadi wananyanganywa mic, mavazi ndio usiseme watu wanavuaga hadi nguo jukwaani.
Kama ni muhudhuriaji mzuri wa show za hawa bongo fleva wala huwezi kushangaa maana ndio vile wanavyofanya jukwaani siku zote na usifananishe na wanavyoimba ktk videos zao, kilichoongezeka ni kuwa walikuwa wanapigiwa live band.
Jmani uandaaji wa tuzo za america music award bajeti yake ni karibu nusu ya bajeti ya tanzania usikae ukaanza kulinganisha sana, mwisho tutaishia kulalama tu bila kuzingatia factor kibao
 

Tatizo shule.........hawa jamaa kazi yao ni kuuza sura tu,hawajui kujenga hoja kama watu muhimu katika jamii....
Mkuu sio sababu hiyo, tunapenda sana kuponda bila sababu
 
Back
Top Bottom