mfukunyunzi
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 142
- 26
Mbona KAMA LINA anamuonea aibu huyo baba?
Au rushwa ya...
Mbona KAMA LINA anamuonea aibu huyo baba?
Kwa swala la stageorait organisation ni mbovu, walitakiwa wafanye nn? We should be giving a constructive criticism..!
As if kuna mmiliki wake hapo anamwogopa. Hiyo ndio picha inayojionyesha.Au rushwa ya...
Hayo ndio mambo tunayozungumzia. How to behave on Stage! Hajajitambulisha kwamba yeye ni nani, anakwapua tuzo na kuondoka. Do we know u? How can we trust u?Huya jamaa anayepokea tuzo za lady jd ni nani? Atazifikisha kweli?
Wimbo bora wa Asili tuzo imekwenda kwa SHANGAZI wa Mpoki.........
Ukisikia Ujinga wa tuzo hizi ndio huu....dah